Urembo bandia mimi unanikera

Urembo bandia mimi unanikera

buluwaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
207
Reaction score
45
Pengine mwenzangu wewe unaona hili ni sawa. Mimi naona hii ndo ishara ya kwanza tunaishi katika taifa la watu waongo na tumekubali kwamba uongo ni sawa tu.

Naomba niulize, hivi kuna ubaya gani ukajipendezesha kadri ya maumbile yako halisia badala ya kufanya hivi hapa? mods niruhusu niseme ukweli kwenye hili tatizo.

Mwenzenu nikimwona mwanamke mkweli wa maumbile yake na d.nda haraka zaidi kuliko hawa wanaolazimisha nywele za makabila mengine.

Tushauriane namna ya kumaliza tatizo: MODI, KAMA UPO USHAHIDI HAWA DADA ZANGU HIZI NYWELE NI ZA KWAO HALISIA KABISA, NAOMBA WAKUELEZENI HAPO JF TUONDOE HIZI PICHA. LAKINI KAMA HIZI NYWELE NI ZA KUWEKA GUNDI NAOMBA TUEENDELEE TU KUJADILI HILI TATIZO TUFIKE MUAFA. SINA HIYANA WALA WIVU WOWOTE. LOHO INANIUMA TU TUNADHALAU UTU WETU ALIOTUPATIA MUNGU WETU.
AFRICAN LIARS POTELEO LA KWANZA.jpgView attachment 245288
Mpaka inakera
 
Duuuuuuuuhhh yaaani hako kamchezo ka nywele bandia siwezi tuu kuongea sana but inakera sana sometimes mpaka hizo wign zinanuka...!
 
Duuuuuuuuhhh yaaani hako kamchezo ka nywele bandia siwezi tuu kuongea sana but inakera sana sometimes mpaka hizo wign zinanuka...!

mi napendekeza pengine wanaume tufanye tu kampeni ya kususia hawa wenye miwigi labda hivo?
 
Hivi unakerwaje na mtu usiyemjua ?
kama hupendi kuwaona lala nyumbani kwako
kutokana na kutowapenda wewe hakusababishi wao kutojifake
 
Hivi unakerwaje na mtu usiyemjua ?
kama hupendi kuwaona lala nyumbani kwako
kutokana na kutowapenda wewe hakusababishi wao kutojifake

tatizo ambalo umeshindwa kuliona hapa ni kwamba hawa ndo mama wa taifa letu hawa-hawa. watalea watoto wa maadili gani kama wamehalalisha udanganyifu? wewe si mzungu. una nywele pilipili. unataka dunia iamini wewe una nywele ndefu. huu ni uongo, na unahalalisha uongo huo kwa kukubali kujifake. wewe hasara ya kuhalalisha uongo unaijua?
 
mi napendekeza pengine wanaume tufanye tu kampeni ya kususia hawa wenye miwigi labda hivo?



yaani mi nna nywele ndefu saana natural but natan hata kuzinyoa. na umri huu cjawahi vaa wigi maishan mwangu huo ndo ushamba wangu nkisema hivyo hadi mashoga zangu hawaamin wanacheka sana
 
yaani mi nna nywele ndefu saana natural but natan hata kuzinyoa. na umri huu cjawahi vaa wigi maishan mwangu huo ndo ushamba wangu nkisema hivyo hadi mashoga zangu hawaamin wanacheka sana

mwafrika mwenye nywele ndefu lazima atakuwa chotara tu. na chotara hajifichi. anajulikana. na hakuna anayegombana na machotara. huyu kwenye hii picha si chotara huyu hata kidogo... huyu ni mwongo tu.
 
mi napendekeza pengine wanaume tufanye tu kampeni ya kususia hawa wenye miwigi labda hivo?



yaani mi nna nywele ndefu saana natural but natan hata kuzinyoa. na umri huu cjawahi vaa wigi maishan mwangu
 
tatizo ambalo umeshindwa kuliona hapa ni kwamba hawa ndo mama wa taifa letu hawa-hawa. watalea watoto wa maadili gani kama wamehalalisha udanganyifu? wewe si mzungu. una nywele pilipili. unataka dunia iamini wewe una nywele ndefu. huu ni uongo, na unahalalisha uongo huo kwa kukubali kujifake. wewe hasara ya kuhalalisha uongo unaijua?

dunia ipo kasi sana watu wanataka kua updated sasa kama wewe unaona unakerwa rudi kijijini huko
halafu akivaa wigi sio uongo
 
dunia ipo kasi sana watu wanataka kua updated sasa kama wewe unaona unakerwa rudi kijijini huko halafu akivaa wigi sio uongo

heee, mtumeee! kwa hiyo kumbe hoja inayotumiwa ndo hiyo! kwa hiyo huyu hapa kaji-up-to-date:
View attachment 244754

Kwamba kaongopa kuhusu maumbile yake ndo hujaliona hilo
 
yaani mi nna nywele ndefu saana natural but natan hata kuzinyoa. na umri huu cjawahi vaa wigi maishan mwangu huo ndo ushamba wangu nkisema hivyo hadi mashoga zangu hawaamin wanacheka sana

Ikiwa ni kweli hongera sana...
 
BREAKING NEWS: NAHISI KUNA MOD ANA MANYWELE YA BANDIA. MBONA HEADLINE YA HUU UZI IMEBADILISHWA KINYEMELA? Heading ya mwanzo ilikuwa na neno MBONA na alama ya swali mwisho. Neno mbona limiiondolewa na mod. Kwa hiyo hiyo heding si sawa. Kwa nini heding imebadilika badala ya kuwa swali imekuwa kauli isiyo na swali? Lazima kuna mod ana manywele ya bandia tu! Hii heding ilikuwa MBONA UREMBO BANDIA MIMI UNANIKERA?

HATA SENTENSI MOJA KARIBIA NA MWISHONI IMIBADILISHWA HApO.... MH...NAHISI KUNA MOD ANA MANYWELE YA BANDIA HUMU! HEBU TUONE KIPI KITAFUATA HAPA... Mbona Urembo wa bandia mimi unanikera? hiyo ndiyo heding yangu. Mod unalo? Au ndo ntapigwa pini sasa hivi!
 
BREAKING NEWS: NAHISI KUNA MOD ANA MANYWELE YA BANDIA. MBONA HEADLINE YA HUU UZI IMEBADILISHWA KINYEMELA? Heading ya mwanzo ilikuwa na neno MBONA na alama ya swali mwisho. Neno mbona limiiondolewa na mod. Kwa hiyo hiyo heding si sawa. Kwa nini heding imebadilika badala ya kuwa swali imekuwa kauli isiyo na swali? Lazima kuna mod ana manywele ya bandia tu! Hii heding ilikuwa MBONA UREMBO BANDIA MIMI UNANIKERA?

HATA SENTENSI MOJA KARIBIA NA MWISHONI IMIBADILISHWA HApO.... MH...NAHISI KUNA MOD ANA MANYWELE YA BANDIA HUMU! HEBU TUONE KIPI KITAFUATA HAPA... Mbona Urembo wa bandia mimi unanikera? hiyo ndiyo heding yangu. Mod unalo? Au ndo ntapigwa pini sasa hivi!

Sio hilo tu mkuu,mimi nashangaa kuna threads zangu za maana tu na za manufaa kwa umma nikiziandika tu kama zinamhusu baadhi ya watumishi serikalini au CCM haziwekwi watu wachangie.
 
Back
Top Bottom