Urembo raha jamani

Urembo raha jamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi bas lol,
 
Nahisi urembo wangu umevuka mipaka, wanaume wanahangaika sana kunipata adi nawahurumia kuna wanaonihonga viwanja wengne magari adi wengne wameacha adi familia zao kunipata mie kichwaBOGA. Sijui wanavutika kwa fesi yangu pua ya kitusi, au pengne uno langu matata.

Au ni K yangu yenye hadhi ya 5G au labda ni haya mautundu yangu sauti mtetemo nyembamba ya huba na ufundi wangu kwa kitanda jamani nawaonea huruma wanaume wanavoteseka walah wengine mpaka wanalia...

Majuzi kati hapa nime-cause ajali pale kiprefuti Temeke hospitali nashuka kuegesha gari yangu si akapita mbaba mmoja macho kodoo kwa msambwanda wangu si akagongwa sijui kafa au hata sijui.

Washajiua wakaka watatu kwa kuwakataa.
bora ujinadi tu maana maisha magumu hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................
 
Back
Top Bottom