Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Sasa hiyo mikucha mirefu mnajisafishaje?Vipi kuvaa cheni kwenye mguu,we hupendi??Kwenye kucha hapo kama una kucha nzuri hakuna haja ila kama hazina muelekeo ningekushauri uwe unabandika tu maana kuna zinazobandikwa zikapendeza mpaka ukahisi muhusika kazaliwa nazo,kuacha kucha zako za asili halafu vikucha vyenyewe vifupi mbele vimebinuka hiyo haikubaliki kwa kweli...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu hapa nacheka tyuu lol yaani team artificial Leo tupite mbali wadada jf kila mtu og;afu nyie masponsor msiwe wanafiki vicheche wenu wengi ni fake [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Huna gharama mama asilimia 75 upo natural
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Huu Uzi tutashuhudia maajabu au tatizo[emoji385] [emoji385] [emoji385] tunatafuta sababu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jmn!!!sema wewe! mchepuko yuko radh atoe laki 7 anunue human hair ila leoooooooooo!pyee!
Wewe ndio unafaaYaani huna tofauti na mim yaan hayo mavitu siyawez mpaka najiona mshamba fulan hivi
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Huu Uzi tutashuhudia maajabu au tatizo[emoji385] [emoji385] [emoji385] tunatafuta sababu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jmn!!!
We utakuwa mwanamke mrembo asilia.., na pengine in mmojawapo wa wahenga! Wa hivi wanahesabika siku hizi!!Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Kina John wa Daresalama hawa.., huwezi kuwatofautisha na Dada zao!!John nawe unavaa wig?
naonaga wadada wamepunyuka kbs kope zao!ila ukimpata mtu anaezijuia walah unaitaaaaa! ila yale ya mkanda yakishamba!
Haha!, acha tu, kope huwa zinatoka kabisa..
wanyakyusa bana sijui wana matatizo gani,wanawake ni wazuri tu ila hawaki kuwa natural....kujichubua sasa khaa!
afu wana sauti kali mno,hawajui kubembeleza kike eti..
hahahha ukienda mbeya wanawake weng ni wa PINK! yaan kwasabb ni weusi wanajichubua had wanakuwa pinky! hahaha hata iringa wamama wanaopasua mbao wako hvyo wanajiitaga mama mbao!
Mwemwemweee...hahahaha unachosema mkuu ni kweli 100% nina shoga angu jaman ana sauti ngumuu! hahahah hajuag kubembeleza alwys yuko harshy! ila nampenda alivyo!
Wig muhimu sana na ujue kutengeneza nywele kulingana na hali ya hewa.. tatizo ma wig yetu ni yale ya nylon yaan kichwa hakipumui lazima utoe uvundo tu ukikutana na joto la dar..mhh tuseme wake zenyu hawavai wigs au mnangea tu hapa kujikosha! wig ni mhimu kwa mwanamke morden yyt yule ila inategemea na aina ya wigi! angalia km juzi mke wa mkulu yale manywele me hata nisingekubai kwenda chatlle! yeboyebo imefumuka imesimama balaa! kha! angefumua akatupia wig angependeza!
Wig muhimu sana na ujue kutengeneza nywele kulingana na hali ya hewa.. tatizo ma wig yetu ni yale ya nylon yaan kichwa hakipumui lazima utoe uvundo tu ukikutana na joto la dar..
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Shauri yako...hahhahahahaha unamfukunyua heaven sent wewe!
hata me napenda tatto zisizoonekanamimi pia nazipenda...
ipo siku ntaanzisha Daftari la wapiga kura kwenye Paja moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu muhimu wote... siku nikipotea wanirudishe kwetu
Sent From my C5 wereva
Interesting...Hongera zao..ngoja waume tuone wapi wanafaa kuoa hahahaHumu leo kila mtu natural.... Haya bwana...