Urembo ulionishinda mimi.....

Urembo ulionishinda mimi.....

Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....

1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.

2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.

3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.

4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya

5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....

Wewe huwezi nini?

Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
With all due respect wee type yangu!
 
Kujichora piko mikononi na miguuni au tattoo siwezi abadani na kuweka lenzi kama za nyau kwenye macho
 
Mmetudiss sana wanyaki. Ila aunts zangu sijui mkorogo wao ndo wa kupima na kijiko. Afu wao wanahangaikaga tu na sura, mwili akhuu, basi wanakuwa kama amoxicillin


hahahahhahahaa yaan nacheka balaa! napenda niende tena huko jaman niwe nacheka!yaan mwilin hawana shida hyo kbs! dah had raha!
 
Vp kuchora katatoo kwenye tako hupendi pia

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....

1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.

2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.

3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.

4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya

5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....

Wewe huwezi nini?

Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Shida sina pesa ila unafaa kuwa mke..! Naogopa utakuwa unachepuka tuu basi..! Ingawa badae lazima nijaribu natangulia pm utanikuta sawa..!
 
Mmetudiss sana wanyaki. Ila aunts zangu sijui mkorogo wao ndo wa kupima na kijiko. Afu wao wanahangaikaga tu na sura, mwili akhuu, basi wanakuwa kama amoxicillin
Halafu wewe...!!
Mtuache tu wanyaki. Basi unakuta mtu ana hilo weave au wigi kichwani utadhani kabeba beseni mweeh


Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Mmetudiss sana wanyaki. Ila aunts zangu sijui mkorogo wao ndo wa kupima na kijiko. Afu wao wanahangaikaga tu na sura, mwili akhuu, basi wanakuwa kama amoxicillin
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ntakuchapaa!, sio kwa kucheka huku!, eti mkorogo wa kupima na kijiko..

espy njoo mchukue mwanao! [emoji28]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ntakuchapaa!, sio kwa kucheka huku!, eti mkorogo wa kupiga na kijiko..

espy njoo mchukue mwanao! [emoji28]
[emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
My dear kwani nina mengi basi, powder, mascara, lipstick, nimemaliza kazi.
Lakini hapa kwenye thread nimejifunza wanja dizain "hawara mshenz" labda nitaongezea huo! 🙂
 
Back
Top Bottom