Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
huwa nanuna alafu nacheka sana! hahaha!
Haha, lakini tege ukilijulia nguo na kiatu, uongo mbaya utatesa sana tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa nanuna alafu nacheka sana! hahaha!
Ngoja nikutumie picha[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Bonge la swagga[emoji85] [emoji85] [emoji85]Haha, lakini tege ukilijulia nguo na kiatu, uongo mbaya utatesa sana tu..
Haha me sinaga habareeemimi nikivaa sandles yanakuwa km( )!Mweeeeeee!
Haha, lakini tege ukilijulia nguo na kiatu, uongo mbaya utatesa sana tu..
mimi nikivaa sandles yanakuwa km( )!Mweeeeeee!
Bonge la swagga[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mie na vipedo sasa, najishaua ndugu yangu utadhani nina guu[emoji87] . Vimini nagonga kama kawa, afu bado mlonjo ni mrefuuhahaha ni kweli usemayo! marufuku mie kuvaa kaptura! marufukuuuuuu! ila gaun fupi ndo vazi zangu!
Haha kuku watatutechezea sanaMwiko kufukuza kuku wewe na mrs air
Maana watafurahi watakuwa wanakatiza tu, tena huku wanatembea...lol!
Mie na vipedo sasa, najishaua ndugu yangu utadhani nina guu. Vimini nagonga kama kawa, afu bado mlonjo ni mrefuu
Yani mimi sinaga habari kwa kweli na nalipenda tege langu +kuliflaunt. confidence yangu ni level za mbutanangamie pedal navaa vzr sana! hahahah! mie sina mlonjo ila nina tege amaizing! ila nikivaa highheels ukaambiwa nina tege utabisha! hahha!BORA KUJIKUBALI
Yani mimi sinaga habari kwa kweli na nalipenda tege langu +kuliflaunt. confidence yangu ni level za mbutananga
Wedges ndio mpango mzima.
Mie na vipedo sasa, najishaua ndugu yangu utadhani nina guu[emoji87] . Vimini nagonga kama kawa, afu bado mlonjo ni mrefuu
mie pedal navaa vzr sana! hahahah! mie sina mlonjo ila nina tege amaizing! ila nikivaa highheels ukaambiwa nina tege utabisha! hahha!BORA KUJIKUBALI
[emoji106] [emoji108] [emoji8]Wedges ndio mpango mzima.
Mnavyotulingishia na matege yenu sasa!
Hongera zenu asee![emoji126]
Yani mimi sinaga habari kwa kweli na nalipenda tege langu +kuliflaunt. confidence yangu ni level za mbutananga
Haha la kurudi nyuma kama masanja anavyofanyaga mmhhahaha ila lile jingine jaman ni baya! lile km unayarudisha nyuma hv au la kuingia ndan magoti yagongane!kha! kwa mwanamke halifaiiiiii
She is something elseHahahah!, jamani msinikumbushe Mbuta Nanga na miguu yake na high heels zake! [emoji28]