MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Si bora tu nilikataa make hata ningepakwa ningefuta teh
hhahaha aisee! ungekuwa mdg wangu ungependa tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora tu nilikataa make hata ningepakwa ningefuta teh
Haha yani sijui nazionaje tehHata mie hizo wedges hapana siziwezi
View attachment 540995 ngj nitafte pic ya mrembo mweusi unielewe
Aaah wapi, dada angu alikua ananimind hadi akachoka ndivo nilivo.....hhahaha aisee! ungekuwa mdg wangu ungependa tu!
Aaah wapi, dada angu alikua ananimind hadi akachoka ndivo nilivo.....
Mi nikipaka lotion na poda ya brown nimemaliza.
Ye anajipodoa mno wanja lipstick kichwani ana weave, mi
Teh ngoja nianze mazoezi ya make up atleast niwe hivihahahahiv ilepoda huwa inaitwaje?duh we mhenga !weav siolazima kushonea! namanish makeup ya mbaliiii
Mi nikiona wedges kichwani huwa itakuja picha ya Asha ngedere, huwa anawakata mitama wanaume huku kavaa wedges 😀😀😀Haha yani sijui nazionaje teh
Mi nikiona wedges kichwani huwa itakuja picha ya Asha ngedere, huwa anawakata mitama wanaume huku kavaa wedges 😀😀😀
Mie sio kuwa naona make up mbaya no!!!!teh teh sijui kwann unahis makeup ni mby! usiapply kila siku ! mie sipakag daily napaka kuendana na mood napaka ya mbaali!kuzuia mngao wa mafuta uson! hahah mm hizo rang za juu ya jicho ndo huwa sipend! ova unaenda kuwinda pye!labda smokey eyes mie napendaga!
Nikiona wedges hii ndo picha inakuja kichwanihahahahahahah!umeua kha!
Mie sio kuwa naona make up mbaya no!!!!
Simple make up ni nzuri, mtu akipaka anapendeza and I like it.... Ila mie kupaka ndio siwezi teh ila ntajifunza
*kuchonga nyusi/kupaka wanja kwenye nyusi
*kupaka rangi kucha
*kuvaa suruali/vimini(japo nlikuwa navaa ila kwa sasa siwezi kabisa nao ni mwendo wa madera na magauni marefu)
*kutumia cream
*kuvaa viatu virefu(naona kama naanguka hahahahaha)
*kuchonga nyusi/kupaka wanja kwenye nyusi
*kupaka rangi kucha
*kuvaa suruali/vimini(japo nlikuwa navaa ila kwa sasa siwezi kabisa nao ni mwendo wa madera na magauni marefu)
*kutumia cream
*kuvaa viatu virefu(naona kama naanguka hahahahaha)
Sina hata umri kubwa ila nlipojifungua nlinenepa sana ndo ikawa mwisho wa kuvaa hizo nguokwann umeacha kuvaa vimin na trauza?umri umekutupa mkono au?ht mie nimeacha kuvaa skintyt!navaaga jionnavyokimbia mchakamchaka! napo bado keroo road!