Urembo ulionishinda mimi.....

Kuvaa wigi na wivin nilivaa wakati wa kipaimara . ...
Kufuga kucha na kubandika yani hata za miguu huwa nakuta vipisi tu na maumivu zimekatikia wapi hata sijui natembea miguu baja ha haha ...

Kuongeza kalio yani nimeletewa dawa mpaka na shuhuda mi hata hawanishawishi wameishia kuniita pasi na mbahili.. niongeze kalio halafu iweje Acha niendelee kutikisa mgongo
 
Wanja najaribu jaribu, kucha hapana nlivoumizwa siku ile sirudii, afu ilikua kutoa ushamba tu nna kucha ndefu za mikono na miguu hata sina haja ya kubandika
 

i like the natural woman like u ,,,,,,,,,,take 5
 
Kunyoa nyusi ......

Kujichubua


Kubandika kucha


[emoji3][emoji3][emoji3]kuvaa kimini...miguu kama fimbo

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Mimi sipendi mwanamke mwenye kuvaa minguo mingi. unakuta mtu kavaa kyupi, skin taiti kisha suruali ya jinzi juu, sasa ukute na tojo la saridalamu, mpaka maku ina kanu vibaya.
 
Sio Wote wavaao hayo "mawigi" huwa yananuka.

Yapo ambayo ni masafi Sana, ingawa hata Mimi binafsi sifurahii nikutanapo na anayevaa kwangu hunipunguzia ladha Fulani.


mie nadhan kunuka wig ni uchafu sijui niseme majasho!au yale ya bei ya chin nadhan!
 
Wigs, kope za kubandika, weaving, kujikoboa...vyote vimenishinda. Nimebakiza kutinda nyusi mara moja kwa miezi na mafuta yangu ya Nazi MINARA..nimemaliza.
Ndio nilichokupendea hicho.
 
Kupaka wanja wa Sina bwana siwezi ila wa Lulu ni master.

Kuvaa Half naked - hiki kitu nakishindwa siku zote.

kibandika makucha marefu kama akina watu maarufu - siwezi kabisa
nikibandikaga zamani kipindi nmemaliza shule ila nilikua nazikata zknafanana kama kucha ndogo, ila now days nna kucha zangu natural safi kabisa.

Kuvaa Cheni - katika urembo nisiouweza ni kuvaa cheni na pete. Hali kadhalika na vikuku ndio mavichukia haifai

kubandika kope natokaga tongotongo la hatari
Nilibandikaga mara moja wakati nna course ya Makeup




Sent From my C5 wereva
 
Mimi sipendi mwanamke mwenye kuvaa minguo mingi. unakuta mtu kavaa kyupi, skin taiti kisha suruali ya jinzi juu, sasa ukute na tojo la saridalamu, mpaka maku ina kanu vibaya.


hahahah hayo na mm huwa nachoka! unavaa jeanz then unajikaba tena na mskin tyt kha wann! mie kiujumla toka nmemaliaza o level sijui neno skintyt hzo fup za kuvalia ndani(nakumbuka wakat ule ilikua ni bonge ya fashion)! argh! uzito tup! ukwel inakera mwingne anavaa tite na underskate!
 
wanyakyusa bana sijui wana matatizo gani,wanawake ni wazuri tu ila hawaki kuwa natural....kujichubua sasa khaa!
afu wana sauti kali mno,hawajui kubembeleza kike eti..
 
basi mkuu ukienda tukuyu utaishi single maisha yako yote utakayokuwa pale..


hahahha ukienda mbeya wanawake weng ni wa PINK! yaan kwasabb ni weusi wanajichubua had wanakuwa pinky! hahaha hata iringa wamama wanaopasua mbao wako hvyo wanajiitaga mama mbao!
 
mie nadhan kunuka wig ni uchafu sijui niseme majasho!au yale ya bei ya chin nadhan!
Uchafu, Majasho, kuvaliwa muda mrefu bila kubadilishwa hizo zaweza kuwa miongoni mwa sababu.

Ila likinuka linachefua Sana, kushika kichwa natural ambacho hakijavishwa kikofia kuna raha yake kunako 6*6.
 
Ila sijui wengine ila hapo kwa nyusi nahisi walio wengi wanakuwa kama paka wa eneo la kitimoto... Kuhusu kuweka kope nako wengine ndio unawaonea hadi huruma... Ila my dada hata kama kujiremba ni wajibu ila msijisahau mkawa kama kale kademu kalikomfall nanilii maana yule anafanya vile kiuigizaji ila akiwa real unaweza saliti familia...Joking
 
wanyakyusa bana sijui wana matatizo gani,wanawake ni wazuri tu ila hawaki kuwa natural....kujichubua sasa khaa!
afu wana sauti kali mno,hawajui kubembeleza kike eti..


hahahaha unachosema mkuu ni kweli 100% nina shoga angu jaman ana sauti ngumuu! hahahah hajuag kubembeleza alwys yuko harshy! ila nampenda alivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…