huko sio iringa,ni mafinga,wanawake wa iringa wanajitambua kama wakenya na waganda,no kujichubua..hao watakuwa wakinga wafanyabiashara ndio wana mambo hayo,maishani mwangu siwezi kuwa na mwanamke anayejichubua au anaye`fake looking yake ya asili,never!hahahha ukienda mbeya wanawake weng ni wa PINK! yaan kwasabb ni weusi wanajichubua had wanakuwa pinky! hahaha hata iringa wamama wanaopasua mbao wako hvyo wanajiitaga mama mbao!
Uchafu, Majasho, kuvaliwa muda mrefu bila kubadilishwa hizo zaweza kuwa miongoni mwa sababu.
Ila likinuka linachefua Sana, kushika kichwa natural ambacho hakijavishwa kikofia kuna raha yake kunako 6*6.
Hivi wacharoji wazuri si ni wanaumee??????? Nimekumbuka Hadija kopa na dereva na paja......mimi pia nazipenda...
ipo siku ntaanzisha Daftari la wapiga kura kwenye Paja moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu muhimu wote... siku nikipotea wanirudishe kwetu
Sent From my C5 wereva
Uandikishaji utakuwa kituo gani? teh! [emoji28]mimi pia nazipenda...
ipo siku ntaanzisha Daftari la wapiga kura kwenye Paja moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu muhimu wote... siku nikipotea wanirudishe kwetu
Sent From my C5 wereva
ndio wanaume ndio wanachora.Hivi wacharoji wazuri si ni wanaumee??????? Nimekumbuka Hadija kopa na dereva na paja......
Mwanamke anayebandika kope halafu ukaziona hizi kope za kubandika anatisha kuliko shetani aliyeamshwa ghafla kutoka usingizini.
Yupo...chura yupo ??
😀😀basi mkuu ukienda tukuyu utaishi single maisha yako yote utakayokuwa pale..
Kujaradia huko vipi, teh labda hataki mbakoMimi sipendi mwanamke mwenye kuvaa minguo mingi. unakuta mtu kavaa kyupi, skin taiti kisha suruali ya jinzi juu, sasa ukute na tojo la saridalamu, mpaka maku ina kanu vibaya.
huko sio iringa,ni mafinga,wanawake wa iringa wanajitambua kama wakenya na waganda,no kujichubua..hao watakuwa wakinga wafanyabiashara ndio wana mambo hayo,maishani mwangu siwezi kuwa na mwanamke anayejichubua au anaye`fake looking yake ya asili,never!
Hayo tulifundishwa unyagoni ingawa kule tulipewa topazNa urembo wa kunyoa pubic hair nao haujakushinda madam?
Ni dread mpnz, sasa nikiosha na ku repair naona zinakatika tu (zile zinazoota ndo zinakatika) sijui shida nini, napata wapi hayo na original nayajuajeUmefuga dread au zipo tu unachana?Try jojoba oil...yawe original utafurahia na roho yako!!