princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
kwahiyo hivo hivo KaboomSi hizo 6 tu..Mbona kama unataka kuanza fitna
Sent From my C5 wereva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo hivo hivo KaboomSi hizo 6 tu..Mbona kama unataka kuanza fitna
Yap yap..Ukipenda niite KBkwahiyo hivo hivo Kaboom
Sent From my C5 wereva
Cha ajabu utakuta huko nje una bonge la dude limejikrimu, miguu myeusi kama limevaa socks 😀Mimi mwanamke akiwa na urembo wowote ambao sio natural simtaki kabisa, mke wangu nikishampiga marufuku kuweka artificial ornaments, yaani kitandani atalala peke yake simkumbatii..
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Hizi je hutumiiKuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
hatuna tofauti daaah [emoji23] nilijua nikogo peke yangu..lips nikipaka vitu nalamba daaah urembo kazi...zaidi ya saa n hereni cna tena cha kuongezea...vyote vilishanishindaKuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Aaah wapi....
Hayo mafuta naweza yapata wapi jmnUmefuga dread au zipo tu unachana?Try jojoba oil...yawe original utafurahia na roho yako!!
Hereni tu? We kibokohatuna tofauti daaah [emoji23] nilijua nikogo peke yangu..lips nikipaka vitu nalamba daaah urembo kazi...zaidi ya saa n hereni cna tena cha kuongezea...vyote vilishanishinda
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nimecheka htrKuna binamu yangu huwa anachora wanja unatokea kwenye nyusi unakaribia kugusa sikio, mwenyewe anauita "hawara mshenzi" huwa nacheka mno
\Vile vi G-whatever sasa....niliwahi kuletwa mtu akajua amenizawadiaaa....nikatinga bwana...kupita barabarani nahisi watu wote wananistukia nimevaa kamba....halafu kikamba chenyewe nikawa naona kama kinasugua maeneo tata...Looh...nikavitupia kabatini na kujisemea gunia hili la ushamba sitalitua kamwe...nitaendelea kulibeba daima....
Aaah wapi....
Kanda ya ziwa sio wateja wa hizo 😀
hamna kitu kama hicho, yaani mi nikuona upo naturally, yaani nywele zako za asili, kuchaza kike, macho ya asili yaani napenda nikupende jinsi ulivyo uwe msafi tu. Mwanmke ukiwa na uzuri wa asili mi huwa nakuwa hoi, sio siri.Cha ajabu utakuta huko nje una bonge la dude limejikrimu, miguu myeusi kama limevaa socks 😀
Kichwani lina wigi mcharuko
Natamani nikuone mkuu, nipe hiyo nafasi basi!Kuvaa wigi na wivin nilivaa wakati wa kipaimara . ...
Kufuga kucha na kubandika yani hata za miguu huwa nakuta vipisi tu na maumivu zimekatikia wapi hata sijui natembea miguu baja ha haha ...
Kuongeza kalio yani nimeletewa dawa mpaka na shuhuda mi hata hawanishawishi wameishia kuniita pasi na mbahili.. niongeze kalio halafu iweje Acha niendelee kutikisa mgongo
uone mgongo au?Natamani nikuone mkuu, nipe hiyo nafasi basi!
Sijawahi aisee... If and if happen basi Natural ndio kipaumbele...lakin mkitoka nje mnatongoza hao wavaa mawig!lol!
Hili jina la Kijiji chetu umelipata wapi?Kilichokushinda kingine ni kunyoa nywele za kwenye kinena aka mavuzi
Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
Mafuta ya nazi yaliniletea kama mba vile yani ngozi ya kichwani inatoka tokaYani ulivyo kama mie heka heka siwez kabisaaa.
Paka mafuta ya nazi kichwani.
Mrs Van