Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Wahi mapema ukaanze dozi Arv's
Yaani unauza mechi kiboya hivyo ,hujihurumii??
Oky usisahau kula matunda na mboga mboga yatakusaidia sana
Rip in advance.
 
Swali nje ya mada: JF-Expert Member ina maana gani? Kama Mod anaweza kunisaidia pia
 
Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
Asante blaza
 
Pole sana mkuu. Nenda hospital tu kaka
 
Pole sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mkuu mwanamke akiwa siku zake kikawaida huwa anakuwa na dalili nyingi, mimi niliwahi pitia moja kama yako ila nikushauri nenda ukafanyiwe vipimo vya mkojo kwanza, pia UTI iko ivo, UKIMWI huwezi ona sasa mpaka miezi mitatu kupita na zaidi pia dalili za AIDs ni za miaka 2 au 3.

Unahisi kukojoa na kusikia maumivu yaani kama uume unawasha kama kuuma, vaa boksa nyeupe umeona usaha unatoka kila dakika, gonorohea, syphilis, chlamedia na hata UTI ziko hivo.

Dokta akuchome sindano.
 
Pole kamanda ila iyo ni dear
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo

Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
*NGono- Gono
*cerftiaxozone- ceftriaxone
*Medical personer- medical personnel
Unachapia hivo na unatoa free online consultation, au siyo?
Kamanda nenda hospital ukapate matibabu sahihi
 
[emoji1754][emoji1754]
 
Wadau wa JF habarini za siku natumaini muko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko
Wahi hospitali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…