Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Mkuu ungekua jirani ningekupa K Vant kubwa kaka umeongea mpaka machozi yamenitoka nina majanga yangu asingekua Mungu nasema kwa herufi kubwa ASINGEKUA MUNGU ukimwi ningekua nimepata story yangu ni kama ya mshikaji nilipata pisi kali moja nikiwa maeneo ya kujidai likanielewa vibaya hata pesa halikutaka kumbe limeozaaaaaaaaaaaaa lina ukimwi pisi kali hili halikunambia uzuri nina kibamia nilikua naogelea na kingine kumbe linatumia Vizuri dawa la sivyo ningekua naishi kwa matumain hua namshukuru Mungu sana mpaka leo nayaogopa haya mapisi kali na wanawake kwa ujumla hua nikibanwa bora nikanunue ili nivae mpira mzuka wa kuwana demu tena umetoka naogopa kumuamini niende kavu nipate ngwangwa
 
Kama korodani zimevimba na zinauma, basi itakuwa ni kutokana na damu ya hedhi...

Antibiotic inatosha kukuponya! Otherwise maelezo yako inaonyesha kuwa umepata gono. Ni vema ukawahi Hospital na usisahau kumchukua na huyo bibie..
 
Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
Hongera mkuu kwa kumpa faraja aisee ndo faida ya jamii forum hii yan wangejua jamaa anachopitia wasingekua wanampa maneno ya kukata moyo
 
Mwamba wa kwnza kuweka wazi ana Kibamia
 
Pole sana mkuu na mshukuru Mungu sana. Hiyo pesa ya K Vant wape masikini huko mtaani utabarikiwa sana.

Pisi kali hizi aka samaki wa mapambo ni uwanja wa majaribio kwa kila baharia halafu mshikaji kauza mechi kizembe tu yaani. Tena pisi yenyewe inablidi? Akitoka salama mi nashauri aokoke tu mazima kwa sababu hakuna namna!
 
Usiogope mkuu. Ukweli ni kwamba yale madude ya period yana uchafu mbaya sana. so ilikuwa halali kupatwa na hiyo hali. Nilishawahi kukutana na sitiation kama hiyo yako nilipata matibabu fresh tu ilikuwa infections za UTI kali sana mpaka daktari aliniuliza mara mbili mbili nilifanyaje
 
Kama, uliamka asubuhi ukaona, dhakari inatoa maji maji, kama kamasi [emoji16] bila kupepesa hilo ni GONO.
kama unakaa unaendelea kuwashwa washwa kwenyekichwa hapo, na maji yanaendelea kutoka kiaina. Aiseee hilo ni GONO.
KUWASHWA WASHWA BILA MPANGILIO WAKATI WA KUKOJOA. NA UNAKOJOJOA KOJOA KILA MARA NA KAMKOJO KADOCHO DOCHOO....UTI
Sasa hizi ni experience tu, mkulungwa nimepitia [emoji3]

[emoji724]

MUHIMU. WAHI HOSPITALI KABLA HALI HAIJAKUA MBAYA NA KUKUADHIRI MAISHA YAKO YOTE.

UKICHELEWAA UTAKUTANA KUBWA KULIKO USWAHILINI TUNAITA.

PENADUUUUUUUU. [emoji51] NARUDIA TENA.
INAITWA PENA MDUUUUUU. [emoji23][emoji23]

Kila la kheri. Pole pia.
 
Asante mkuu
 
Basi itakua UTI maana nahisi mkojo umebana sio poa lkin nikienda washroom nakojoa mkojo kdg sio kawaida lakini kwenye swala la hayo maji maji asubuh nikiamka nakua swafi kabisa
 
Dah, watu mna moyoo, umega msichana siku ya kwanza bila ndomu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…