Tafuta mafuta yanaitwa ( T444z ) google kwenye simu yako afu utanipa majibu mwenyeweHabari. Naombeni mnijuze mafuta mazuri ya nywele. Yanayokuza. Ambayo pia hayakati nywele. Mimi nywele zangu ni laini. Ila zinakoleaga dawa.. Ukiniwwkea na picha. Ntashukuru
Asante ngoja niyatafuteKuna blog nimeona ina maelezo mazuri matunzo ya nywele. Picha za mafuta nimeshindwa weka humu(sijui kuweka) inaitwa laura pettie. Kuna topic nying hicyo ya nywele mpaka kuitafuta Super women 2
Sijawahi tumiababy care ndo kiboko kwa nywele kama zako
NashukuruTafuta mafuta yanaitwa ( T444z ) google kwenye simu yako afu utanipa majibu mwenyewe
Tuzionenywele zangu napakaga yeyote hata vaseline na ni ndefu tu.. ngoja niulize majirani kama wanajua
Mi ningependa hii[emoji116]Wapendwa,
Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale wenye kupenda mitindo ya nywele mnaweza kutupia picha mbalimbali za mitindo ya nywele ili kuweza kupeana uzoefu.
Karibuni sana wapendwa.
Naomba MODs waiweke thread hii sticky ili iwe ni mahali pa kupakulia mitindo ya nywele kwa wadada.
Mkuu kipara bila Pesa ni sawa na kovu...wacha aondoe kovu mzeeAchana na hayo.
Mbona kipara fresh tuu
Habari. Naombeni mnijuze mafuta mazuri ya nywele. Yanayokuza. Ambayo pia hayakati nywele. Mimi nywele zangu ni laini. Ila zinakoleaga dawa.. Ukiniwwkea na picha. Ntashukuru
Sijawahi kusikia,ndo nasikia kwako. Enhe. Unafanyajefanyaje?Samahani kama nitakukwaza, wanawake wengi niliokutana nao, wanasema shahawa za kiume ni mbolea ya nywele, yaani ina reproduce cells zilizokufa. Umejaribu hii method?
AsanteJojoba