Urembo wa nywele, mitindo mbalimbali ya kusuka na kunyoa

Urembo wa nywele, mitindo mbalimbali ya kusuka na kunyoa

Wapendwa,
Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale wenye kupenda mitindo ya nywele mnaweza kutupia picha mbalimbali za mitindo ya nywele ili kuweza kupeana uzoefu.


Karibuni sana wapendwa.

Naomba MODs waiweke thread hii sticky ili iwe ni mahali pa kupakulia mitindo ya nywele kwa wadada.


808957_Flaviana-ICE5_jpg83798d1db451b29b26f654496b7942e7

Huyu si anakaribia kuolewa, anavaaje shela bila kuwa na nywele kichwani? Au hataweka kile kishela kidogo?
 
Da Zinduna nawezaje kutengeneza nywele zangu ziwe na mvuto mzuri pasipo kuweka dawa???

NOTE: Nywele zangu ni za asili ya Mwafrika, yaani ni kile kipilipili ambacho hakijachakachuliwa...

C.C. MillionHairs
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi mnoo kupita hapa.
Kwa Leo ninaswali, jee naweza kurudisha nywele zikawa natural mana zinadawa?
kwa yeyote anaefahamu anipe namna tafadhali.
Shukran

Acha kuweka dawa!
Suka tu km unaweza!
Zenye daw zote zitakatika zitaisha zitabaki natural
 
Mtu mweusi anapoutamani weupe na nywele za singa! halafu hao hao wenye nywele na rangi siku zote ndio wabaya.

Baniani mbaya kiatu chake dawa?

Inasikitisha.

Kweli nakubaliana wewe, bora wavae mabaibui wafunike sura zote waonekane macho tu.
 
Hahahaa my douta kweli?? Lakini sio ajabu mi si ndo role model wako bhana....

kweli mummy, mkweo Mwanyasi hana bajet ya saluni ya kila wiki tunakutana mwisho wa mwezi kunyoa. kumbe mtoto wa nyoka ni nyoka...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom