Nywele ni mapokezi a.k.a reception ndo unaona kwanza unavutika ndio ushuke kdg kifuani alafu kiuno,bambataa lilivyokaa sio alimradi tu then uanamalizia kwenye ulegi.Sasa ukicheki hivyo vitu uka compare na home km ulilipua ndo chanzo cha ndoa kupata shida.