Urembo wa nywele za wanawake na haiba yake katika mahusiano

Urembo wa nywele za wanawake na haiba yake katika mahusiano

..na wa twende kilioni na kilimanjaro unatuweka kundi gani?
 
duh hii nayo kali sasa,mtu anafanya kujipendezesha mwenyewe na kuonekana smart,kila mtu ana uhuru wa kuchagua vile anavyopenda kuishi......nywele fupi haziwapendezi wote wengine wana vichwa kama naniii
 
mwanamke inatakiwa abadili mwonekano wa nje mara kwa mara,sio kuzoeleka na twende kilioni au upara kuanzia january hadi december
 
hivi unajua baby fesi yangu?

Wengine tukinyoa tunakuwa kama mbuni, kichwa kidogo mwili jumba.

Hahahahaha jamani nimecheka. Kumbe tupo wengi......mie I got a slender body + kisura kidogo. Nikinyoa nazidi kuwa mdogo jamani. Spear me please.....long hair ndo habari ya mujini😉:thumbup:
 
mwanamke inatakiwa abadili mwonekano wa nje mara kwa mara,sio kuzoeleka na twende kilioni au upara kuanzia january hadi december

Aveta yako inaonyeshwa una nywele ndefu lakini umeziweka kwa mtindo wa shap up unavuti akuliko nywele hizo zingekuficha uso kama wengi wafanyavyo tusingeonea sura ya kupendeza kama aveta yako inavyoonyesha.
 
Aveta yako inaonyeshwa una nywele ndefu lakini umeziweka kwa mtindo wa shap up unavuti akuliko nywele hizo zingekuficha uso kama wengi wafanyavyo tusingeonea sura ya kupendeza kama aveta yako inavyoonyesha.

huyo ni Ini Edo sio mimi,nina sura nzito kama mtori best
 
duh hii nayo kali sasa,mtu anafanya kujipendezesha mwenyewe na kuonekana smart,kila mtu ana uhuru wa kuchagua vile anavyopenda kuishi......nywele fupi haziwapendezi wote wengine wana vichwa kama naniii

Inaeleweka kipenda roho ndio dawa, huu ni ushauri tu, kuna baadhi hawana uwezo wa kuzitunza nywele ndifu, angalia akiwa kiti cha mbele kwenye daladala utatamani ukifungue dirisha iingie hewa mpya, na kama amesimama mbele yako kwenye daladala utatafuta nafasi kujongea nyuma zaidi.

Wapo wanaozitunza vizuri na ni ghali kuzitunza, lakini walio wengi huwawia vigumu. Inakuwa ni mnoko badala ya kunukia manukato.
 
huyo ni Ini Edo sio mimi,nina sura nzito kama mtori best

Naongelea Aveta, ndio tafsiri niliyotoa, shape up ndio mpango mzima wa mwonekano mzuri, hii ya kufunikafunika hata shughuli za kazini au professional zinakataliwa. Ushauri tu. Wengi wanaiga bila kujua namna ya kuziweka sawa.
 
huyo ni Ini Edo sio mimi,nina sura nzito kama mtori best

Vigumu kuwajua watu hapa JF nionavyo pid nafikiri ndo wewe mwenyewe, na siwezi kujua huenda wewe ni Mnigeria aum Mkenya, au Msomali, na pengine Mzambia, hapa tunakutana mchanganyiko kila mmoja kivyakevyake tu, Mello ndiye anayetujua vizuri toka kwenye database zake.
 
Kwa hiyo ina matter mzungu anakuonaje? Nimekumbuka post moja ya rafiki yangu face book; jinsi colonized anapojitahidi kujitoa kwa colonizer lakini anatumia colonized framing....mwisho wa siku inakuwa ni circle (self reproduced oppression) hakuna kujinasua....

Maendeleo yanapimwa kutumia wazungu walipo....

Ustaharabu unapimwa kulingana na mzungu anavyo behave...

Wazungu wanapenda naturals...basi waafrika tuwe natural....nakadhalika...




Mimi huwa naona aibu kuona mabint wameshonea nywele ndefu kama za Spora au Vanessa Mdee, wazungu wanaona tunaabudu uzungu wao wakati baadhi wanapenda nywele zetu.
 
mhhhhh...jamani wengine vichwa vyetu vibovu ..vina kona balaaaa.sasa nywele zikiwa fupi tunatisha..angalia kipara cha flaviana matata na kipara cha wema sepetu....
 
mhhhhh...jamani wengine vichwa vyetu vibovu ..vina kona balaaaa.sasa nywele zikiwa fupi tunatisha..angalia kipara cha flaviana matata na kipara cha wema sepetu....

Mifano ya taswira nilizota si unyoaji vipara bali mitindo ya unyoaji mtu akabaki na nywele zaka asilia. Kubaki kipara nako nimbaya maana mibonyeo ya vichwani kwa kawaida hzibwa na uwepo wa nywele vinginevyo maumbo ya baadhi ya vichwa yapo yapo tu lakini bongo lao linafanya kazi vizuri tu.
 
Inategemea,ila kubadili muonekano pia ni muhimu!kila siku twende kilioni inahusuuuuuuu??!
 
Inategemea,ila kubadili muonekano pia ni muhimu!kila siku twende kilioni inahusuuuuuuu??!

Kinachotatiza zaidi ni pale watunza nywele ndefu wakati wa kuoga kutogusa eneo la nywele jambo ambalo uchafu unazidi kujazana na kuongeza harufu. Kichwa ni sehemu ya mwili ambayo ni computer inayoendesha mwili mzima, hivyo si ajabu kuwa uchafu mwingi kwa njia ya nywele toka ubongoni kwa njia ya jasho hutanda zaidi kichwani na kutooshwa kwa siku kadhaa nawahurumia kinachowapata, maana mie nikikosa kuosha kichwa siku moja hali si ya kawaida sasa kwa akida dada wiki bila kuoshwa nini kinaendelea?
 
attachment.php


Tunmashuhudia siku zote wanafunzi wanapendeza sana ingawa nao wamelazimishwa na sheria ya shule kutofuga nywele ndefu, lakini the majority wako safi na nywele zao nzuri.

hako katoto kamependezajee......kameonekana kiasili ni kakare wajamenii
 
...research: kama wewe ni mutumiaji wa usafari wa daladala, ukipanda basi hesabu wanawake waliovaa nywele za bandia, 90% watakuwa wamevaa nywele bandia, nipo utakapogundua kuwa wanawake wetu wa kiafrika wanapoteza u-afrika wao, na kujipachika uzungu bandia!
 
Back
Top Bottom