Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani kimesababisha hadi nywele yako ikawa raini? umewahi ku retouch before? if yes dawa yako ya mwisho ilikuwa ni ipi?Napenda dred saana bt nywele zangu laini nahisi zitakayika zote
Huko sawa Nyumba kubwa…lakini kumbuka watu hawafanani'wewe huwezi kukaa masaa hayo ila kuna wengine wanaweza kukaa masaa hayo na hata zaidi…pia siyo kusuka tu bali swala zima la salon linahitaji moyo kwani unaKuna issue mbili hapo...si ela peke yake...nani ana muda wa kuweka ma.ta.ko. chini kwa masaa kadhaa kila wiki?
Kusuka kunahitaji moyooo...wengine hatuna hiyo subra.
Mimi siwezi kabisa kukaa masaa kuanzia 5 nasuka...hizo staili zipite tuuu.
Kitu gani kimesababisha hadi nywele yako ikawa raini? umewahi ku retouch before? if yes dawa yako ya mwisho ilikuwa ni ipi?
Does she?
Kuna issue mbili hapo...si ela peke yake...nani ana muda wa kuweka ma.ta.ko. chini kwa masaa kadhaa kila wiki?
Kusuka kunahitaji moyooo...wengine hatuna hiyo subra.
Mimi siwezi kabisa kukaa masaa kuanzia 5 nasuka...hizo staili zipite tuuu.
ipo wapy saloon hyo dr,..
Huko sawa Nyumba kubwa…lakini kumbuka watu hawafanani'wewe huwezi kukaa masaa hayo ila kuna wengine wanaweza kukaa masaa hayo na hata zaidi…pia siyo kusuka tu bali swala zima la salon linahitaji moyo kwani una
spend pesa na mda wako…na mtu yeyote anayependa urembo wa salon lazima kwanza akubaliane na hivyo vitu.
View attachment 136508View attachment 136509View attachment 136510Iko maeneo ya Mikocheni....Shoppers plaza ya Mikocheni kuleee mbelee IKO BARABARANI kabisaaaa
Yes she is!!!!!!
inategemea na uso na kichwa cha mtu pia wengine wana machogo unadhani wakinyoa watapendeza kama matata????????????
na ukumbuke wengine nywele zetu ni kipilipili mno tutazifuga kwa miaka mingapi mpaka zije kukua na kuvutia
itachukua miaka mingi mnoooo
hapana usijaribu kupotosha hakuna mwanamke anaetumia 50000 per week kwa ajiri ya kusukia labda wale matawi sana na hata hao sidhani
ghamara ya kusuka kimasai na mitindo mingine haizidi 40000 na hiyo inategemea na saloon
na ukisuka una weza ukaaa nazo wiki hata tatu
tunapozungumzia ubunifu hata kusuka rasta na yeboyebo ni ubunifu wa kiafrika pia
kuhusu hao wanaowashwa na nywele inawezekana ni uchafu wao binafsi nywele zilizosafishwa vizuri kabla ya kusuka huwa haziwashi ovyo
TaBU YOTE YA nini? haTA ikiwa ELFU 10 NDIYO UITUPIE KICHWAni kila WIKI? WENGI HAMUISHWI NA MAumivu ya KICHWA kwaSAbaBU Ya KUVUTWA minywele yenu kwa RAsta ZA kimaSAi...sio laZIMA unyoe, twende kilioni inaTOSHA! xsiku inhaPITA kichwa HAkijaGUSA maJI COZ YA minywele? kichwa NI MUHIMU SAna KUPAta MAji ili kupoza INGINI...wengi wenu haMUOGI KICHWAni...