Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
urembo mzuri ni ule usiokuhamisha sana kwenye uhalisia wako, unatakuwa ukufanye uonekane natural beauty. my dad once told me, ukijiremba unatakiwa ujirembe kiasi ambacho mwanaume akikuoana aseme huyu dada ni mzuri, ana ngozi nzuri, na sio agundue upo fake
I can imagine your dad telling you so........that was when!!!!!!!!!!!!!!!
kwa kweli kuna watu wanazidisha Make Up sana hadi uhalisia wake unapotea kabisaa
