mkuu mie natokea Mbeya,shanga zilikuwa zamani siku mengi yamejaa fungus,wengine tumeshazoea kulamba mwili wa mwanamke kwa kutumia ulimi,sasa hayo mashanga yalinata fungus nitanyonya vipi?
Halafu huonyesha tofauti na chako pale uwanjani![/QUOTE Ngekewa Umesha wahi kumpata Mwanamke mwenye shanga kiunoni?
Mbona ni mavitus yetu hayo sisi wa pwani? Hayo na udi tuliyaexport kwa kaka zetu huko mrima!
ziwe chache kweli mwake,LoL!!! Nakubaliana na NN, shanga zinapendeza zikiwa chache kama mbili hivi hata mpaka tano zikizidi hapo kwa wengine inakuwa ni uchafu. Dr hupendi gold chain kuning'inia kiunoni!?
Hakika huo ni ugonjwa
wewe @MzizMmkavu kwa makisio ya haraka haraka uko 50+ sasa, ukiendekeza hiyo makitu utakuja kufia juu. Shauri yako!wewe kweli Nyani Ngabu hujajuwa maana yake tafuta mtoto wa kizaramo akuvalie shanga utaziona raha zake.
Nenda hapa kajionee mwenyewe https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/462488-mtaani-kwetu-shangaaaa-rahaaa.html
mzigo tuu
jamani me sielewagi nini maana ya shanga kiunoni na kazi zake haswa ila naskiaga ina shughuli yake maalum na pia inakuwaje mpaka watoto wadogo [ke] wavalishwe wakati shughuli iliyonayo ni ya kiutu uzima, je utamchukuliaje mpenzi wako unapomuona na shanga!!!!! you are welcome!!!