Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalaaa Roho Yangu!! :help:... Duuu! Kwa jinsi hii itabidi tumsadie mwanajamvi mwenzetu aweze kufanikisha Thesis yake. Nipo shosti-dear..pilika za hapa na palewe fuatilia tu wangu!
yani anauliza vitu vingi kuhusu ngono mpka nahisi anafanya utafiti!
yani mara bikra,mara uume mkubwa,mara tigo,mara sijui nini uuuuwih!yani ngachooooooka miimi!
BTW umeadimika shosti! upo?
ah sanaa!yani anakuwa kwa kasi ya lile chapati la kichina zamani tulikuwa tunliweka kwenye maji ya chai lile!dah!
zinasaidia mtu kukua haraka, na kunenepa c unaonaga hata watoto wa kizaramo huvishwa. hii huita buster
Yalaaa Roho Yangu!! :help:... Duuu! Kwa jinsi hii itabidi tumsadie mwanajamvi mwenzetu aweze kufanikisha Thesis yake. Nipo shosti-dear..pilika za hapa na pale
Hapa ndio akili za Wadanganyika zilipo gota....what is SHANGA?.....gOD Forgive Us
Kiuno chake shanga. Vaa kionekane.
Tupia moja tu, nyingi ni uchafu
mpododo ndo nini??
Lol,,....poor research