Zamani shanga kiunoni kwamwanamke zilikua kama utambulisho,bwana harusi alikuwa anaambiwa ampapase biharusi kusikia kama shanga zipo basi anakua na uhakika kuwa alienae ni mwanamke. Baba wa bwana harusi yeye alikuwa anapiga ngoma nje wakati kijana wake akianza kugegeda kwamara ya kwanza .
Baba mtu anakua ashamwambia kijana kuwa atampapasa kuhisi shanga kiunoni kama zipo basi aingie katikati ,halafu nikipiga ngoma unasukuma kiuno chako pale Kati ,nikipigatena ngoma unarudisha kiuno nyuma. Baba hapa mtumzima dawa alikuwa anaongeza kasi ya mapigo ya ngoma kadri muda unavyo zidi ,BABA ONGEZA KASI!!! Basi mzee akisikia hivyo anaacha kabisa kupiga kale kangoma anakaweka mlangoni na kuondoka zake kimya kimya.