ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Cc lara1
Kwani hereni, cheni na bangili vina maana gani?
Wakuu....kwema?
Hivi mwanamke akivaa shanga kiunoni, ni ishara ya nini? Je, anataka nini?
Nimesikia sikia uvumi kuhusu maana ya shanga kiunoni, nimeona nije jikoni huki kabisa nipate mlo murua!
Tuelezane.
Shanga ni moja kati ya kivutio cha dushelele!!
Huyo atakuwa anapenda utamaduni wetu, hakumbatii tamaduni za kizungu...
Seems like ndo fundi......
Unajua kuwa zinaitwa chachandu?
Alah! Znaongeza ladha, sio?
Ndo hvoo akija atakuelezea zngne mbwembwee
Haswaaaaa .......
Hiyo ndio kazi ya chachandu!!!!!!!
Shanga nyeusi.
Kama Ukikuta Mwanamke amevaa Shanga za
Rangi nyeusi,basi ujue kuwa yupo teyari kukupa
Raha na Utamu lakini tatizo bado hajanyoa
nywele zake za sehemu za siri,kwa hiyo
unaweza kumnyoa kama kweli upo kimapenzi
tena sana au ukaiacha siku hiyo ipite ili akanyoe
baadaye au kama hamu zimekuzidia sana
unaweza ukaendelea kama kawaida.
Urembo....thats all? I thought zina kazi kwenye tendo...
Kwa vipi sasa?! Yani hapo tu ndo sielewi...
Kuna mautundu yake ama?
Kwani hereni, cheni na bangili vina maana gani?