Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Waziri+Mkuu

Heeeee!
Hata mama pm pia???
 
Mawazo potofu navipenda na sitoacha kuvaa kwasababu wengine.wanafikiria ujinga huo ni urembo kama ulivo urembo mwingine kwa mwanamke kwahiyo wamasai nao wanavaa sababu wanamaanisha mnayofikiria
 
Atokee basi mdada mmoja hata kwa ID mpya akubali basi kuwa sometimz wanao vaa vikuku wanatoa kabaang,manake naona wote wana tetea....
 
Kuna wanaovaa urembo na ambao wako sokoni kwa biashara ya kabaang kwani wamegundua soko lake liko juu!
 
mie pia navaa kama urembo na wala si vinginevyo! kingine kuna baadh ya makabila kam wamasai wanavaa kabisa zile shanga zao miguuni! na wanapendeza kwelikweliii

hiyo ni jadi yao,hata yule binti,mama,baba na babu wanavaa.kinachozungumziwa hapa ni wadada tena wengi wao waishio mjini na ni kwa nini wengi wao ni wale ktk jamii thamani yao na sifa wanahesabika kama ni malaya?
 
Mimi naulizia wanaovaa shanga!
kwanini nikimuona mwanamke amevaa shanga nachanganyikiwa, nitamfuatilia mpaka niue!
 
me navipenda vikuku , hzo maana za cjui kugawa tigo or kuwa available wanazitoa wapy jmn?,mana nishawahi pigwa ban kuvaa nikaacha but moyo unapenda bado

Heheheheh...kumbe mkikamatika hata ban mnakubali kupigwa
 
Back
Top Bottom