Mkuu skuwa namana hio hahaha koz wao ni part of their culture
Hawa nao si moja ya mila zao?
Hayo mawazo mabaya hayana nguvu kwa sasa mwanamke kuvaa shanga ni part ya urembo wake tu na anaweza vaa mguu wowote hakuna maana yoyote mbaya mambo yamebadirika sana nw days.,
Kwani hiyo picha ya mguu wenye shanga unadhani ni ya nani
Sema hakyamungu...........Kwani hiyo picha ya mguu wenye shanga unadhani ni ya nani
hahahah...utanifanya niuze shamba la urithi nije huko Bububu uliko...
Ni kweli yamebadilika hii kitu inatumiwa mpaka na watu wa bara siku hizi
Huyo mkarimu kotekote
Naaaam shekhe....Kumbe kila mguu una maana tafaut?