Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

kila mtu na fikira zake jamani.yani kama mimi hata nikiona tu kijidude kimoja tu cha shanga vile vigololi vidunchuuu.,akili inahama kabissaaaaaaaa
 
Kuna Bwana mmoja baada ya kuwa na nyeti ndefu sana aliwekewa RINGI na daktari ili asivuke eneo au urefu unaobaki nyuma ya ringi. Hata huo ni ulembo pia. Wengine ati wakivaa ushanga ndo kiuno kinakaa vizuri. Ni urembo mzuri kama mume (mwezi/mpenzi) wako atapenda; na kinyume chake pia ni urembo wa kishamba na usiofaa kama Mume (Mwezi/mpenzi) wako hatapenda kitu hizo. Maana hapo anapaona mmoja mmpendanaye kama mke na mme tu. Ukiona mke wako anavaa ushanga na wewe huupendi ujue kuna mwingine anauona na kuupenda! Wapo wanaojiremba kwa kuchora tatuu sehemu za siri (kama kachorwa na mtu mwingine basi hizo sehemu siyo za siri)
 

Huwa nafikiria kua ni malaya mbwa
 
Kwani hiyo picha ya mguu wenye shanga unadhani ni ya nani

Mbona wenzio umeweka full foto wewe ukaweka ka mguu tu, tena kamoja? assessment inatakiwa ifanyike holistically. Tupia picha nzima-nzima tena nyingi nyingi tukupe maksi za maana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…