Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada


Suala linabaki lile lile ndio maana kuna dress code, sitegemei kukumta mama yako mzazi na sketi fupi yenye mpasuo na kikuku hata siku moja.
 
i thnk mtu aliamka siku moja akamuona mtoto wake kavaa cheni either kiunoni au kikuku hakupenda so akamuambia ni tabia mbaya coz of this and that na wabongo tulivyo hiyo kitu ikaenea na kila mtu akawa na reason yake...wht a person has on their waist or ankle does not determine their behaviour...mbona hamsemi kitu kuhusu 2-piece bikinis (za swimming) na one piece?...ebo,waachaeni wavae hao wanaovaa
 
Suala linabaki lile lile ndio maana kuna dress code, sitegemei kukumta mama yako mzazi na sketi fupi yenye mpasuo na kikuku hata siku moja.

xx mada yetu sketi fupi au ivyo tulivyovitaja mwanzoni? Nakuhusu kumkuta mama yangu na sketi fupi hayo ni mapenzi yake binafsi siwezi kuyaingilia maana labda ndio baba anavyopenda,na kuhusu kutumia lugha ya mama yangu usidhani labda nitapaniki la asha kwani najua ilo ndio dhumuni lako,nakukumbusha mama yangu mimi wewe pia mama yako bc tumuache mama yetu nje ya mada tujadili mada iliyokuepo ili tuweze kujifunza vitu mbalimbali...
 
Wewe bana huwezi kuubalisha ukweli, mwanamke akivaa kikuku ni urembo wa kihuni full stop. Na hata hizo cheni za kiunoni ni ishara ya umalaya tena umalaya mbwa uliokubuhu. Mtu na heshima zake hawezi kuvaa hayo makitu.
 
Wewe bana huwezi kuubalisha ukweli, mwanamke akivaa kikuku ni urembo wa kihuni full stop. Na hata hizo cheni za kiunoni ni ishara ya umalaya tena umalaya mbwa uliokubuhu. Mtu na heshima zake hawezi kuvaa hayo makitu.
nakubaliana na wewe maana huo ndio utashi wako na ukweli utaishi siku zote km huo ndio ukweli sina budi kukutakia siku njema
 

Kuna msisimko fulani hivi unatokea.
 
Kwangu mwanamke naona km pambo la nyumba yangu hivyo mwacheni ajirembe akitoa tigo atoe aspotoa bas kwan mwanamke wajibu ajipure ila ubaya kudhihirisha mapambo yk kwa watu ambao sio ruhusa kumuona yaan watu wote wanayeruhusiwa kumuoa!
 
Waungwana nisikilizeni niwasaidie mnielewe. Kila afanyacho mtu ni lazima kiwe na asili/chanzo na MAANA YAKE. Usivae tu vazi Au urembo flani eti kwa sababu umenuona mtu fulani kuvaa.
a. Cheni Au shanga kiunoni hapa kwetu imezoeleka kama ni urembo lakini nawaambieni ina uhusiano mkubwa sana na MAHIRIZI ndo maana wanaume wengi Nimewasikia Hapo wakisema "NIKIONA ILE KITU HUWA NACHANGANYIKIWA KABISA",ni mtego wa wanawake kupitia fix ya kuremba. mwanamke ni yule yule ila ile nguvu ya kichawi na kipepo iliyoongezwa kupitia hirizi Ndiyo inayowapagawisha. Kwa kuwa wengi hawajui basi tena ndo wengi ndoa zimesambaratika na pesa kwisha.
b. Au ngoja niwaulize Waungwana kwani unapofanya mapenzi na mwanamke Cheni inahusikaje katika kufurahia tendo,Hebu tafakari.
c. Au siku Jaribu kumlazimisha mwanamke aitoe Cheni kiunoni mnapotaka kufanya mapenzi Alafu usikie habari yake..
 

Na vibata vipo! mhhh! sijui ndo my ushamba
 

mmmmmnnnhh!!!! jamani kuna watu wanajua kuzungusha maneno....
 
Wanawake wengi wameathirika sana na kuiga.
a. Sidiria za kubana Matiti
B. nguo fupi
c. Kuvaa vikuku
D. Kope za bandia
e. Kuchonga nyusi
F. Kuongeza ukubwa wa makalio na matiti
g. Nywele nyekundu
h. Kutoga vitovu, sehemu za siri I. Cheni za viunoni
J. Uvutaji wa sigara na madawa.

Yote hayo ni mpango wa IBILISI wa kutaka kumharibu mwanamke na kuwa kama bidhaa ifafanayo na sura ya MAJINI na MAPEPO ya kuzimu ili iuangamize ulimwengu.
Kumbuka mwanamke ndiye anayemzaa MWANAMUME na MWANAMKE.
 
Ukitupa jiwe gizani Ukisikia kuna mtu ameguna ujue limempata huyooo......

kheee.....wala sikukusudia wewe kumbe nawewe ni mzungusha maneno eh.....acha tu tuvae hirizi miguuni, mikononi, shingoni, vidoleni, puani, kwenye masikio na viunoni
 
Niliwahi angalia kipindi kimoja katika television( channel 5, kipind ni nirvana kama kumbukumbu zangu ziko sawa), basi pale mzanzibar mmoja aliyebobea katika masuala ya urembo alitoa somo juu ya hizi Shanga za kiunoni....alisema wanawake katika tamaduni za kwao(kabla ya huu upotoshwaji) walizitumia shanga kutoa taarifa fulan kwa wenzi wao, na mwanamke alipaswa kuwa na shanga tatu za rangi zifuatazo, Nyekundu,Nyeusi, na Nyeupe. Hiz shanga hazivaliwi kwa pamoja, ila kwa wakati tofauti ili kufikisha ujumbe fulani....Mfano mwanamke akiwa katika "danger" atavaa shanga nyekundu kumuarifu mwenzi wake kuwa" mambo si sawa", akiwa anatakafanyiwa usafi atavaa nyeusi, na akiwa yuko "safe" atavaa nyeupe kum"alert" mwenzi wake kuwa mambo iko saaafi....Na alienda mbali zaidi kuhusu kipande cha khanga, aaah najaribu tu kukumbuka alichosema "Mgeni" mwalikwa yule
 
kila mtu anao uhuru na mwili wake aufanyie nn as long as havunji sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…