Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
khaaaa vikuku ndo vinakukimbiza hadi kuanzisha uzi......
Anataka kueleweshwa, msaidieni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
khaaaa vikuku ndo vinakukimbiza hadi kuanzisha uzi......
Habari zenu wanajamvi hususan wadada!
Nimekuwa nikikutana na wadada /wamama tofauti wakiwa wamevaa vicheni miguuni mwao,nasikia vinaitwa vikuku.
Bila kupoteza muda ningeomba kujzwa vinamaana gani?na kwanini kuna baadhi ya wadada wanavivaa kwenye miguu yao ya kulia na wengine miguu ya kushoto?
AHSANTENI!
khaaaa vikuku ndo vinakukimbiza hadi kuanzisha uzi......
Hadi sasa katika majibu yote hayo hujapata maana??Ndio nataka nijue vina maana gan?pia nijue vinachukua nafasi gani ktk mapenzi coz najua masuala mengi ya urembo mnayoyafanya wadada lengo lenu huwa nikuwavutia wanaume,je kipi kinachomvutia mpenz wako?Na je faida yake nini?
Anataka kueleweshwa, msaidieni.
Meanings are socially constructed...
Napenda sana kuvaa cheni mguuni lakini kila nikiomba opinion ya mume wangu anakataa kata kata...
Sasa nina rafiki wa kiganda aliniona siku moja nimetupia pete nyingi vidoleni mikono yote miwili...
Huwa tuko free with each other akanambia NK hizo pete zinakufanya uonekane cheap...hivyo ndio waganda wanavyo judge wanawake...nilicheka saaana....
Nikamwambia pete Tz siyo issue ; issue uvae kikuku mguuni...wacha ashangae...akaniuliza kwani kuvaa cheni mguuni si urembo tu,,,
Nkamwambia ndio maanake...yani jamii inakulimit uhuru wa kufanya kitu roho inataka....
iwe cheni au pete ni vitu ambavyo wala havibadili ngozi wala nini lakini watu wame define wanavyotaka wao...and the definiton is widely acceptable...
Ila nimegundua ni Tz tu ndio tuna define hizi cheni this way...kwa wengine ni urembo tu...
Namlaani huyo aliyeanzisha hii definition...kwa sababu nina hamu kweli ya kuvaa kikuku...ila ndio hivyo tena....na ujanja wangu wote nimekuwa limited na hii definition...
Ha ha ha huko nafikaga.....tuonane machava!!!
Mimi nakuruhusu....
Kama nani....? mmiliki halali akisema no, ni no...no discussions...
'The Other Man' amepewa lifti tu ... hawezi kupiga honi...
ah ah ah...usifanye nikuachie gari...
majanga jamaniNijuavyo mimi kikuku ni pambo kama kuvaa hereni, bangili au mkufu.Je hicho kitu kingine unachosema wewe ni kipi maana tunaelimishana hapa.
Nimewahi kusikia pia kupaka wanja,kupaka hina, au kuvaa kofia zile za wenzetu watu wa pwani kuna maana yake.Je hizo maana ni of universal application?
Mm navaa chen kiunon,nkiwa na mpz wangu naibana,nkiibana vile tukiwa tuna duu nkikata kiuno inamuongezea nyege sababu inakua inamtekenya laaziz kiunon ana enjoyNdio nataka nijue vina maana gan?pia nijue vinachukua nafasi gani ktk mapenzi coz najua masuala mengi ya urembo mnayoyafanya wadada lengo lenu huwa nikuwavutia wanaume,je kipi kinachomvutia mpenz wako?Na je faida yake nini?

