Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teeeeheteeeeehhhhh
kigogo umenimaliza kabisa wacha nikamalizie cha asbh nisiachike mwaya
Kwa kweli hii issue ya vikuku navyo kumbuka ilisha jadiliwa humu janvini na kina dada walitoa ushirikiano mzuri tu_walisema ni urembo wa kawaida ambao labda mtu anapendelea,....labda kama mtu unataka majibu yanayokufurahisha ndio maana unajitahidi kuuliza mara mbili*2 ili mpaka watu wajibu kama unavyotaka,......anyway ngoja tuwasubiri walengwa wajibu kwa mara ingine tena.
huyo anapiga miguu yote kama Lampard
Maana yake UPUNGA! avaaye hizo nguo means anamegwa!
huyo anapiga miguu yote kama Lampard
Jamani sisi watu wa Kaskazini hii misamiati mingine migumu kwetu! Wekeni kamusi humu.
ha ha ha haha da!...JF ni full furaha ,
Unaweza ukawa mtu wa kaskazini lakin,
pwani ndiko unakoshi na ndiko unakojipatia riziki zako zote.....
Ila vuta subira utafafanuliwa tu....lol
yani anatoa kote....i mean sodoma na gomola....