Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Teeeeheteeeeehhhhh
kigogo umenimaliza kabisa wacha nikamalizie cha asbh nisiachike mwaya
 
JAMANI HAWA VIONGOZI WETU WANA UMAKINI GANI NA KAZI ZAO??NAFIKIRI HATA UVAAJI WAWEZA JULIKANA NI MTU WA AINA GANI:israel:
 
Kwa kweli hii issue ya vikuku navyo kumbuka ilisha jadiliwa humu janvini na kina dada walitoa ushirikiano mzuri tu_walisema ni urembo wa kawaida ambao labda mtu anapendelea,....labda kama mtu unataka majibu yanayokufurahisha ndio maana unajitahidi kuuliza mara mbili*2 ili mpaka watu wajibu kama unavyotaka,......anyway ngoja tuwasubiri walengwa wajibu kwa mara ingine tena.
 
Sio wote wanashinda kusoma mada za jf muda wote tupe nafasi na sie tusiobahatika tute kuelewa na pengine tupendezeshe wake zetu tukishaelewa maana yake
ulakucha
 
Na Mwandishi Wetu
Spika wa Bunge, Anna Makinda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu, Sera na Bunge, William Lukuvi wamewaonya wabunge kuhusu mavazi na kujiheshimu.
 
Teeeeheteeeeehhhhh
kigogo umenimaliza kabisa wacha nikamalizie cha asbh nisiachike mwaya

hahaaaa pamoja kaka..Uzee dawa sasa sie ndo wanazuoni wa mambo haya basi twawapa mbinu za medani vijana
 
Na sisi mechi za mchangani inakuwaje? maana za kina Lampard hizo kiama.....wengine unaviita halua ya nkebe shehe...
 
Kwa kweli hii issue ya vikuku navyo kumbuka ilisha jadiliwa humu janvini na kina dada walitoa ushirikiano mzuri tu_walisema ni urembo wa kawaida ambao labda mtu anapendelea,....labda kama mtu unataka majibu yanayokufurahisha ndio maana unajitahidi kuuliza mara mbili*2 ili mpaka watu wajibu kama unavyotaka,......anyway ngoja tuwasubiri walengwa wajibu kwa mara ingine tena.

ni ile attachment ya pic ya ile miguu ya yule demu aliyekaa ufukweni ndiyo imenifanya niikumbuke ile topic. Lakini heading yake hata siikumbuki tena. Anayeikumbuka atudokeze basi...
 
Havina maana yoyote kwa Tanzania, kama nchi nyingine vina maana SIJUI!,
ni urembo tu kama cheni, hereni, bangili.
kwani mwanaume kuvaa cheni kuna maana zaidi ya mapenzi yake binafsi?
 
Ni vivutio tu na ndio maana na wewe nadhani ni mmoja wa waliovutwa mpaka kuleta hii mada jamvini. Don't they look beautiful in them? Kwa nini hujauliza na sababu za kuvaa heleni na bangili?
 
huyo anapiga miguu yote kama Lampard

Uarabuni maana ake ni hiyo. Yaani gari linapita hadi NO ENTRY. So ukimuona dada kavaa hivyo ww huulizi ukikaa katika usukani, unapita hadi NO ENTRY, Hamna limitations. Ss wabongo sijui tumepatia wapi....? coz ni wataalamu wa kucopy na ku paste desturi za watu wengine
 
Maana yake UPUNGA! avaaye hizo nguo means anamegwa!
 
Maana yake UPUNGA! avaaye hizo nguo means anamegwa!

Yamemkuta rafiki yangu mwenye mchumba msomi na anayevaa cheni mguuni؛ ni HIVI.
Huyo Rafiki yangu juzi alitaka kukutana na mchumba wake huyo kimwili, ni baada ya kuwa wachumba kwa muda mrrefu kidogo.
Aliamua kuniomba ushauri kama rafiki yake waa karibu,
nikamsgauri asithubutu kumgusa -kulala- na mchumba wake kwanza, wasubiri hadi siku ya ndoa maana bado kidogo tu, maana maana kwa uzoefu wangu nilionao ni kwamba wachumba wengi walioonjana kabla ya kuoana kwanza wengi wao hawakufanikiwa kuoana kabisa, akajitahidi lakini miezi miwili kabla ya harusi akaamua kuonja, wanasema kujaribisha kiat kabla ya kununua! Shughuli ikawa Jamaa akiwa kwenye shughuli yake si mwanamke akawa anajitia kidole huko No entry? Yaani nyuma! Jamaa akashangaa lakina akaendelea akifikiri ni mtindo mpya! mwanamke akaona kidole hakimridhishi, akaamua kumhamishia jamaa kwenye sodoma moja kwa moja! Ala!! Jamaa anasema hakushtuka kwanza maana tofauti haikuwa kubwa sana, ila alisikia joto la ajabu sana, na mwanamke kufurahi sana na kumkumbatia jamaa yangu kwa nguvu kubwa ajabu! Jamaa kushtuka kajikuta kalishwa haramu tena ambayo inaonekana ni very very used! Hadi sasa ninavyoongea haijulikani hatima ya hiyo ndoa, sijui kama kuna kuoana tena hapo, maana jamaa anadai kuwa kupewa kwa mara ya kwanza tu anapelekwa huko njia mbovu!, je wakizoeana njia halali ataiona tena kweli? Au ndiyo atakuwa amefunga ndoa na shetani! Hawa dada zetu wa kizazi cha bongo flaver hawafai kabisa!!!
 
Jamani sisi watu wa Kaskazini hii misamiati mingine migumu kwetu! Wekeni kamusi humu.


ha ha ha haha da!...JF ni full furaha ,
Unaweza ukawa mtu wa kaskazini lakin,
pwani ndiko unakoshi na ndiko unakojipatia riziki zako zote.....

Ila vuta subira utafafanuliwa tu....lol
 
ha ha ha haha da!...JF ni full furaha ,
Unaweza ukawa mtu wa kaskazini lakin,
pwani ndiko unakoshi na ndiko unakojipatia riziki zako zote.....

Ila vuta subira utafafanuliwa tu....lol

Mimi nawindia mawindi yangu huku huku mkuu.
 
Back
Top Bottom