Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Nipe namba ya Bosi wako kwanza, husimwamshe aliyelala!
 
Sijui nini sababu, ila wanawake wengi siku hizi hawavai shanga, na hata wanaume hawana time nazo.
hapo kwenye red ulijuaje? unaeza kutoa takwimu hapo? yaani walikuwa wanavaa wangapi then figure imedrop hadi wapi?
 
hapo kwenye red ulijuaje? unaeza kutoa takwimu hapo? yaani walikuwa wanavaa wangapi then figure imedrop hadi wapi?
<br />
<br />
Na mimi nilikua najiuliza swali kama hili!
 
Mkuu unatutangazia humu kuwa wewe ni tester? Halafu umeona thread ya Mamndenyi inayokwenda kwa jina "Nyumba kubwa?"
 
Mkuu asubui tu umeamka na Thread ya shanga kulikoni? Hapa nilipo umeme umekatika ,maji nayo hayatoki na mafuta hakuna!
 
mkuu asubui tu umeamka na Thread ya shanga kulikoni? Hapa nilipo umeme umekatika ,maji nayo hayatoki na mafuta hakuna!
<br />
<br />
si umeona serikali na wauza mafuta wanavyopeana saa 24!!! Usijali yatapatikana mafuta,nasubir na songas nao wapewe nusu saa
 
Shanga za wapi? Mbona wamasai bado wanavaa kwa kwenda mbele?
 
Bujibuji umeifanya siku yangu kuwa njema, nimefurahi sana; thank u.
 
Back
Top Bottom