Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Lizzy na rais,...sameheaneni pleeease nyie ni watu wazima. Yaishie hapo.
 
Again. . . out of my league.Stay there.

Know this young gal, if u don't show respect, expect resistance, ujinga wangu ni upi uliousema previously,
ask again Mamushka mie nani? If i am lying anything, i felt nauseated...
 
yamekua haya jamani??

prezoo, Lizzy may i throw a white towel for the love of the forum??

c'mon guys please, we love ya both

I dont wanna see this dudes...
image-752bc38429692ba9ec650afaac5a9399-chinese-symbol-for-peace.jpg
 
Haya, tuendelee kujadili kwa heshima ya members wote wanao changia humu.
 
Heeee, yaani bibi du nimeondoka kidogo tu mmemwaga michele, nyie watoto mna visa.

Lizy, umeanza lini na wewe? ulitakiwa uwe twisheni
huyu NN si alikuwa kaenda lala
Prezidaa, nilidhani unasaini sheria?

Ukiingia jf, shut down server ya emotions utaenjoy kama nini.
 
Heeee, yaani bibi du nimeondoka kidogo tu mmemwaga michele, nyie watoto mna visa.

Lizy, umeanza lini na wewe? ulitakiwa uwe twisheni
huyu NN si alikuwa kaenda lala
Prezidaa, nilidhani unasaini sheria?

Ukiingia jf, shut down server ya emotions utaenjoy kama nini.
Kongosho kuna mkorofi aliiba password yangu aisee. . . .
 
Khaaaa! kulitokea nini hapa? naona post zilokuwa deleted nyingi kuliko ziloachwa.
 
Ndio maana mimi sitafuti kilicho kabatini kwa wife, kwenye pochi zake au simu yake. Utakuta vitu vya kukutia presha. Hata ukimwacha karibu wote wako hivyo hivyo. Tulia na unachokiona, usichokiona hakitakusumbua.
Hata sisi bili zetu za vikao vya jioni zingefika nyumbani!!

unaogopa kuuface ukweli?
 
Hivi watu bado hamjavizoea tu hivo vikuku? Tafsiri yangu ni urembo tu hata nikimuona mtu kavaa simshangai!
 
Back
Top Bottom