Niko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Mheshimiwa gwajima rai yangu ni kwamba dawati la kijinsia kuwa nani ya kituo Cha polisi inaleta ukakasi. Watu wengi wanaogopa kuingia humo hasa watoto ukizingatia polisi walivyo na maigizo ya kutisha wananchi. Dawati la kijinsia litaftiwe kona nyingineSaid, ahsante kwa swali lako, kifupi ni kwamba; siyo haki kumlazimisha yeyote yule kufanya jambo la kuhusu maisha yake ambalo yeye anaona hayuko tayari. Ndoa ni taasisi ya maridhiano siyo lazima, vinginevyo kinachoandaliwa hapo ni maisha ya kukatiliana tu kuanzia wanandoa hadi watoto iwapo watajaliwa kuwa nao. Ana haki ya kulalamika huyu iwapo amelazimishwa na Serikali ina wajibu wa kumsikiliza. Ahsante.
Mheshimiwa gwajima rai yangu ni kwamba dawati la kijinsia kuwa nani ya kituo Cha polisi inaleta ukakasi. Watu wengi wanaogopa kuingia humo hasa watoto ukizingatia polisi walivyo na maigizo ya kutisha wananchi. Dawati la kijinsia litaftiwe kona nyingine
Inatakiwa busara itumike. Mazingira ya huko vijijini hakuna elimu na uelewa hivyo maisha kama haya ndiyo kawaida yao. Hawajui hata kama wanavunja sheria. Hivyo naishauri serikali isi-over react kwa kufunga watu miaka 30. Japo kutojua sheria siyo utetezi lakini itakuwa siyo vizuri kufunga watu miaka 30 kwa mazingira ya aina hiyo.Shukran, kesho lazima mkuu wa wilaya ataenda kuwakamata akishirikiana na vyombo vya dola
Kichwani umebeba uono,Hujielewi ,kama wao
Serikali ipeleke mswada wa mabadiliko ya Sheria ya ndoa Kwa umri 14yrs ,kimsingi bint amekizi vigezo vya kuolewa miaka 17
Labda awe mwanafunzi
Duuuh! mkuu,angalia content,yaani unaanza kudili na jambo la Laela kama ni wilaya au mji mdogo?Aisee...Mkuu laela ni wilaya ?
Ni upuuzi mkubwa kusema kupeleka msaadaHabari za jioni ndugu yangu katika JMT. Nadhani utakuwa umefuatilia mrejesho wa serikali kuhusu hoja uliyoleta. Mara kadhaa kumekuwa na mrejesho kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali juu ya ajenda hii. Hata hivyo, sidhani kama ni sahihi kutotoa msaada na ushirikiano kwa hoja iliyopo sasa dhidi ya manusura ambaye anahitaji msaada kwamba, tukae kimya tu kwa kuwa bado ile hoja ya awali haijafikia mwisho.
Sidhani kama kukaa kimya bila msaada ni sahihi. Hivyo, Kila jambo tutafanyia kazi katika kudhibiti ukatili wa kijinsia kulingana na lilivyo sasa kwa mazingira ya Sasa na wakati ujao nao utafanya kazi kwa mazingira ya wakati huo. Tumeshampata mtoa taarifa Ili kumsaidia manusura wetu. Ahsante Sana, ubarikiwe. usiku mwema,
Nimetiwa moyo sana kuona hii, Asante mheshimiwa WaziriAhsanteni sana Wadau wa JF kwa taarifa hii. Huu ndiyo ushirikiano wa jamii tunaohitaji. Tunashughulikia. Ahsanteni kwa mawasiliano ya namba ya simu.
Unaona sasa...hahaaaOya mnyiramba kumbe upo humu!!..laeleani
Kuna ndoa za utotoni na kuna ndoa za kulazimishwa. Hii kwa mujibu wa mtoa mada ni ya kulazimishwa. Usifanye juhudi zote za waziri kuwa hazina maana.Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni.
Kama serikali haipendi hizo ndoa za utotoni kwanini walikata rufani waliposhindwa mahakamani na Rebecca Gyumi? Haya mnayotuambia hapa ni maigizo tu,kama kweli serikali inadhamira ya dhati a basi hiyo sheria ya binti wa miaka 14 kuolewa ibadilishwe mara moja vinginevyo serikali ikae kimya tu
Naomba kuuliza! Hivi Ndoa za kulazimishwa huwa zinaangukia kwenye makosa gani!? Je ni Civil au Jinai!!??Kuna ndoa za utotoni na kuna ndoa za kulazimishwa. Hii kwa mujibu wa mtoa mada ni ya kulazimishwa. Usifanye juhudi zote za waziri kuwa hazina maana.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ngoja wataalam washeria waje.Naomba kuuliza! Hivi Ndoa za kulazimishwa huwa zinaangukia kwenye makosa gani!? Je ni Civil au Jinai!!??
Big up sana Dr. Gwajima for such an amazing response to this urgent call. you're a super leader!Niko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
heria ya ndoa inasema wazazi wakiridhia na si mtoto akiridhia.Sheria ndio haifai muaoaji hana kosa hapo,kama serikali haitaki ndoa za utotoni ibadilishe sheria.Mtoto wa miaka 14 anaridhia nini kwenye suala kubwa kama ndoa? kama kupiga kura tu mtoto huyo haruhusiwi,kunywa pombe haruhusiwi ,kuendesha gari haruhusiwi eti ndoa ndoa ndio aridhie, huu ni wendawazimu.Serikali isitufanye wote hatuna akili kama kuna makundi ya dini inayaogopa kwenye hili suala la ndoa za utotoni ni heri iache hao watoto waendelee kuolewaKuna ndoa za utotoni na kuna ndoa za kulazimishwa. Hii kwa mujibu wa mtoa mada ni ya kulazimishwa. Usifanye juhudi zote za waziri kuwa hazina maana.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji38][emoji38]Kumbe upo humu mama? Ukimaliza kumuokoa huyo binti, uje huku tuokoe bandari.
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mwache Dr Gwajima mwenye maada yake mezani ajibu!! Asante sana kwa msaada wako!!
Inasikitisha..hivi mtu unaoaje binti wa miaka 16..hiyo so grooming?