Urgent: Nimepata email wachina wanatafuta watu wakwenda China wajifunze mambo ya mafuta

Tatizo hauna exposure hilo ni janga kubwa la taifa letu.
Wewe ****, mimi nipo kwenye kitabu changu cha 4 cha passport, huna cha kuniambia kwenye maswala ya exposure. Unajua hata visa zinapatikana vipi au zinafananaje..? Wewe ndo huna exposure maana hata internet spamming za kawaida tu unashindwa kuzigundua, unakuja kuzibandika humu JF mwisho wa siku unaonekana mshamba tu
 
Endelea kuuza K kwa mgongo wa flash
China utapasikia tuu huwez kwenda

Wewe upo hapo tz una maendeleo gan au kuuza flash ni maendeleo?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nilisema una akili ndogo mkuu. Hakika ni kweli unawezaje kujua jinsia ya mtu wa jamii forum wakati mtandao hauonyeshi jinsia. Huu mtandao wetu andika post comment lakini yote unayoyaona hapa yaache hapahapa. Otherwise utabakia kuwa sifuri kichwani.
 
Tushamshitukia tapeli huyo
Hawezi kutoka nje ya tz huyo
Mshangaz wa njombe huyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana nilisema bado wewe upo kwenye primitive age. Hilo lipo wazi kabisa.
 
Hao nawafahamu ni marafiki zangu. Nilishawahi kwenda hapo mwaka jana.
Ili kuonyesha kwamba ni marafiki zako,na kuondoa sintofahamu ya kuitwa tapeli!

Weka ushaidi wa copy ya visa yako kwenda kwao China,weka barua yao ya mwaliko kwenda China, na nyaraka nyingine ambazo sita clear doubt yoyote

La sivyo watu hawataamini! Asante
 
unawaletea watz makozi magumu watawezea wapi kwa akili gani? waletee kozi za hotel management, community development..wakijitahidi sana accountancy.
 
Ni bora wasiamini na waniite tapeli tu. Huwa sipelekeshwi na watu wenye akili primitive. Wale walioona tangazo pale kuna link ya kufanya maombi. Kazi kwenu wasio amini unapita pembeni.
 
Asante.
 
Akili ni nini? na una uthibitisho gani mi nimesoma university?
 
Hao nawafahamu ni marafiki zangu. Nilishawahi kwenda hapo mwaka jana.
Hiyo ni residence permit yangu.
View attachment 2963313
Mwaka jana ulienda na visa ya 2019 how
Nauliza tu maana visa ikitoka tu lazima usafiri kwa mda maalumu na sio baada ya miaka mitatu
Nisahihishe kama nimekosea maana mimi naenda kila nchi na visa nagongewa mlangoni tu
Ila miaka ya nyuma sana ilikuwa lazima ni apply na ina mda wake
 
Hiyo ni Residence permit. Hapo ni nyumbani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…