Urgent: Nimepata email wachina wanatafuta watu wakwenda China wajifunze mambo ya mafuta

Urgent: Nimepata email wachina wanatafuta watu wakwenda China wajifunze mambo ya mafuta

Mwaka jana ulienda na visa ya 2019 how
Nauliza tu maana visa ikitoka tu lazima usafiri kwa mda maalumu na sio baada ya miaka mitatu
Nisahihishe kama nimekosea maana mimi naenda kila nchi na visa nagongewa mlangoni tu
Ila miaka ya nyuma sana ilikuwa lazima ni apply na ina mda wake
Mkuu, hauitaji hata kuwa na akili nyingi kujua kama huyo mswahili hajawahi hata kuwa na passport. Sijui hata kama anajua boarding pass ni nini..? Maana kwenye visa, point of entry huko unampeleka mbali sana.
 
Hivi wewe una akili sawasawa?? Humo kichwani zinachaji kweli? Unakua na mawazo ya kijima.
Usidhani kila mtu ana akili kama zako. Pitia usome hapa. Huyo ndio mimi. Nafanya kazi hii nipo seriously. Kama huwezi kufanya maombi ni bora ukae kimya.
Ngoja wakuibie ndo akili ikukae sawa,unawafahamu wa Nigeria wewe.
 
Mkuu, hauitaji hata kuwa na akili nyingi kujua kama huyo mswahili hajawahi hata kuwa na passport. Sijui hata kama anajua boarding pass ni nini..? Maana kwenye visa, point of entry huko unampeleka mbali sana.
Acha roho mbaya mkuu wangu utafanikiwa. Unapata faida gani kutunga uongo moyoni mwako. Chukua link pale anza kuapply na share na kwa wenzako.
 
Tatizo hauna exposure hilo ni janga kubwa la taifa letu.
Jomba wewe huna exposure yoyote. Na kupitia nyuzi zako inaonekana bado uko kwenye msoto mkali. Jinsi unavyojibu kwa hasira ndo jinsi ulivyo katika hali ngumu. Ninakushauri nenda taratibu. Kutojiambia ukweli itakucost sana. Kama hiyo biashara yako ndogo ya kuuza flash haiingizi hela ya kukuwezesha kumudu mahitaji yako fanya hata vibarua vya ujenzi uongeze kipato. Kujiita meneja wa makampuni huku ukimiliki mbupu peke yake ni upuuzi.
 
Jomba wewe huna exposure yoyote. Na kupitia nyuzi zako inaonekana bado uko kwenye msoto mkali. Jinsi unavyojibu kwa hasira ndo jinsi ulivyo katika hali ngumu. Ninakushauri nenda taratibu. Kutojiambia ukweli itakucost sana. Kama hiyo biashara yako ndogo ya kuuza flash haiingizi hela ya kukuwezesha kumudu mahitaji yako fanya hata vibarua vya ujenzi uongeze kipato. Kujiita meneja wa makampuni huku ukimiliki mbupu peke yake ni upuuzi.
Wewe hata ndugu zako wanakuzungumzia kila siku unafikiri hatujui. Sifa yako kubwa ni roho mbaya na wivu wa maendeleo kwa ndugu zako.
 
Siwezi kubishana na watu primitive mkuu. Najua huwezi kuelewa chochote kwasababu umeijaza akili yako negativity. Unawaza kutapeliwa kila kitu. Kwa kifupi ukiendelea na mtazamo huo sahau kuendelea Katika maisha yako. Nani akutapeli hivyo vielfu kumi vyako. Fanya kazi hii ni social media it's free. Mnakaa kuchunguza maisha ya watu hadi mtandaoni. Tabia za kike kuwa kiume.
Usipanik unapoelezwa ukweli
 
Back
Top Bottom