Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ooh nisamehe bureHiyo ni Residence permit. Hapo ni nyumbani mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh nisamehe bureHiyo ni Residence permit. Hapo ni nyumbani mkuu.
Mkuu, hauitaji hata kuwa na akili nyingi kujua kama huyo mswahili hajawahi hata kuwa na passport. Sijui hata kama anajua boarding pass ni nini..? Maana kwenye visa, point of entry huko unampeleka mbali sana.Mwaka jana ulienda na visa ya 2019 how
Nauliza tu maana visa ikitoka tu lazima usafiri kwa mda maalumu na sio baada ya miaka mitatu
Nisahihishe kama nimekosea maana mimi naenda kila nchi na visa nagongewa mlangoni tu
Ila miaka ya nyuma sana ilikuwa lazima ni apply na ina mda wake
Ngoja wakuibie ndo akili ikukae sawa,unawafahamu wa Nigeria wewe.Hivi wewe una akili sawasawa?? Humo kichwani zinachaji kweli? Unakua na mawazo ya kijima.
Usidhani kila mtu ana akili kama zako. Pitia usome hapa. Huyo ndio mimi. Nafanya kazi hii nipo seriously. Kama huwezi kufanya maombi ni bora ukae kimya.
Google Scholar
scholar.google.com
Yaaani kuna ligi kali sana ,😂😂😂😂😂😂😂 mbarika haelewi kitu hapa yeye anakiwasha tu 😂😂😂😂Uzi umekua uwanja wa vita
Acha roho mbaya mkuu wangu utafanikiwa. Unapata faida gani kutunga uongo moyoni mwako. Chukua link pale anza kuapply na share na kwa wenzako.Mkuu, hauitaji hata kuwa na akili nyingi kujua kama huyo mswahili hajawahi hata kuwa na passport. Sijui hata kama anajua boarding pass ni nini..? Maana kwenye visa, point of entry huko unampeleka mbali sana.
Sijaona mwaafrika wakuniibia labda aje kuniibia kwa vunja nyumba.Ngoja wakuibie ndo akili ikukae sawa,unawafahamu wa Nigeria wewe.
Tanzania imejaza watoto wa kike. Tunahitaji elimuNgoja wakuibie ndo akili ikukae sawa,unawafahamu wa Nigeria wewe.
Hadi mi nime notice kitu hapo..Mbarika hana exposure alitapeliwa ubungo mpaka leo akili yake haijapona. Akiona kila fursa anahisi kutapeliwa.
Huyu nae hataki kuelewa fursa...
Ndo wabongo, ni wabishi sana kila linapokuja suala la fursa kila mtu atajifanya mshauri mwisho anaishia kukatisha tamaa watuHuyu nae hataki kuelewa fursa...
Ngoja wenye uhitaji tufanye kweli bana 😂😂😂😂😂😂😂
Jomba wewe huna exposure yoyote. Na kupitia nyuzi zako inaonekana bado uko kwenye msoto mkali. Jinsi unavyojibu kwa hasira ndo jinsi ulivyo katika hali ngumu. Ninakushauri nenda taratibu. Kutojiambia ukweli itakucost sana. Kama hiyo biashara yako ndogo ya kuuza flash haiingizi hela ya kukuwezesha kumudu mahitaji yako fanya hata vibarua vya ujenzi uongeze kipato. Kujiita meneja wa makampuni huku ukimiliki mbupu peke yake ni upuuzi.Tatizo hauna exposure hilo ni janga kubwa la taifa letu.
Humu ndani ni akili yako tuu.😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ndo wabongo, ni wabishi sana kila linapokuja suala la fursa kila mtu atajifanya mshauri mwisho anaishia kukatisha tamaa watu
Wewe hata ndugu zako wanakuzungumzia kila siku unafikiri hatujui. Sifa yako kubwa ni roho mbaya na wivu wa maendeleo kwa ndugu zako.Jomba wewe huna exposure yoyote. Na kupitia nyuzi zako inaonekana bado uko kwenye msoto mkali. Jinsi unavyojibu kwa hasira ndo jinsi ulivyo katika hali ngumu. Ninakushauri nenda taratibu. Kutojiambia ukweli itakucost sana. Kama hiyo biashara yako ndogo ya kuuza flash haiingizi hela ya kukuwezesha kumudu mahitaji yako fanya hata vibarua vya ujenzi uongeze kipato. Kujiita meneja wa makampuni huku ukimiliki mbupu peke yake ni upuuzi.
Usipanik unapoelezwa ukweliSiwezi kubishana na watu primitive mkuu. Najua huwezi kuelewa chochote kwasababu umeijaza akili yako negativity. Unawaza kutapeliwa kila kitu. Kwa kifupi ukiendelea na mtazamo huo sahau kuendelea Katika maisha yako. Nani akutapeli hivyo vielfu kumi vyako. Fanya kazi hii ni social media it's free. Mnakaa kuchunguza maisha ya watu hadi mtandaoni. Tabia za kike kuwa kiume.
Umejaza moyo wako roho mbaya, wivu mwisho utaishia kuwa mchawi.Usipanik unapoelezwa ukweli
Ondoa haya mawazo kichwani mwako mkuu utafanikiwa.😂😂😂 bongo ukiitiwa fursa jua ww ndo fursa yenyewe