Urgent: Nimepata email wachina wanatafuta watu wakwenda China wajifunze mambo ya mafuta

Jichanganyeni tu, haha
Kenge huwa ni mpaka atoke damu ndo anaskia, maneno ya wahenga.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka kwa sauti hapa.
Deleted01 unatumia nguvu zote kutoa watu wasiingie kwa matapeli wa mjini
 
Mkuu barikiwa sana. Nimejaza lets hope for Good🙏 achana na Mavichaa na wajuaji wa kila kitu hapa JF, ambao kusoma au kujaribu awataki wapo tu kukatisha watu tamaa na kuleta mitafaruku kila kukicha .Usife Moyo wewe lete tu fursa. Again Barikiwa sana🙏🙏🙏
 

Attachments

  • IMG_7599.jpeg
    297.1 KB · Views: 3
  • IMG_7600.jpeg
    268.6 KB · Views: 3
Weka namba yako ya simu nitakutumia pesa kila mwezi. Na utakua unapost kila mwamala hapa jamii forum.
Au niweke mimi unitumie pesa kila mwisho wa mwezi na nipost humu kila muamala unaotuma ili uwe ushahidi kuwa wewe sip tapeli kama wasemavyo?😁😁😁
 
MKUU malipo ni bei gani?
 
We ni wakala wao. Umeshakula 10% unataka kuwaingiza wengine mkenge! Kwa nn usiwapeleke ndugu zako kwenye fursa hiyo?
 
Hongera sana mkuu
 
Baada ya kufanikiwa kuregister utatumiwa ujumbe kwenye email yako kama ifuatavyo:
 
Baada ya hapo login, weka tick kwenye kibox then accept: Endelea mbele


 

Attachments

  • Screenshot_20240414_161156_Chrome.jpg
    263 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…