Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,205
- 5,121
Ni hivyo tuu, huu utaratibu urudishwe haraka. Sababu iko wazi, makato mapya ya kutoa na kuweka pesa bank hayavumiliki hata kidogo na yanamnyonya mfanyakazi directly sababu hajapewa option(s), yaani automatically anafosiwa kukatwa sababu hakuna njia ya kuuchukua huo mshahara bila kukatwa.
Haiwezekani hako ka salary nikalipie Income Tax, jumlisha makato lukuki na kubaki na ka take home kadunchuuu. Halafu ninapoenda kukachukua hako ka take home bado tena nilipe "Government Levy". Kwa nini nilipie kuchuchukua hako ka take home wakati nimeshalipa "Income Tax?".
Turudi old school tuu, mishahara itumwe kwa wahasibu wa halmashauri husika, kama ni taasisi basi zitumwe kwenye ofisi husika, kisha mtumishi ataamua yeye anapeleka bank ama anakaa nazo.
Haiwezekani hako ka salary nikalipie Income Tax, jumlisha makato lukuki na kubaki na ka take home kadunchuuu. Halafu ninapoenda kukachukua hako ka take home bado tena nilipe "Government Levy". Kwa nini nilipie kuchuchukua hako ka take home wakati nimeshalipa "Income Tax?".
Turudi old school tuu, mishahara itumwe kwa wahasibu wa halmashauri husika, kama ni taasisi basi zitumwe kwenye ofisi husika, kisha mtumishi ataamua yeye anapeleka bank ama anakaa nazo.