Urgent: Utaratibu wa kupokea mishahara dirishani urudishwe haraka

Urgent: Utaratibu wa kupokea mishahara dirishani urudishwe haraka

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Ni hivyo tuu, huu utaratibu urudishwe haraka. Sababu iko wazi, makato mapya ya kutoa na kuweka pesa bank hayavumiliki hata kidogo na yanamnyonya mfanyakazi directly sababu hajapewa option(s), yaani automatically anafosiwa kukatwa sababu hakuna njia ya kuuchukua huo mshahara bila kukatwa.

Haiwezekani hako ka salary nikalipie Income Tax, jumlisha makato lukuki na kubaki na ka take home kadunchuuu. Halafu ninapoenda kukachukua hako ka take home bado tena nilipe "Government Levy". Kwa nini nilipie kuchuchukua hako ka take home wakati nimeshalipa "Income Tax?".

Turudi old school tuu, mishahara itumwe kwa wahasibu wa halmashauri husika, kama ni taasisi basi zitumwe kwenye ofisi husika, kisha mtumishi ataamua yeye anapeleka bank ama anakaa nazo.
 
Ni hivyo tuu, huu utaratibu urudishwe haraka. Sababu iko wazi, makato mapya ya kutoa na kuweka pesa bank hayavumiliki hata kidogo na yanamnyonya mfanyakazi directly sababu hajapewa optio(s), yani automaricaly anafosiwa kukatwa sababu
Kuna ajira za kuvunjana miguu unataka zirudi
 
Uzalendo ni kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako, yaani serikali ndiyo imekulipa huo mshahara ila ikitaka ikate tena kidogo tu unalialia!

Hii ni sawa na Mungu anayekubariki na kila kitu ila roho yako inauma kumpa chochote kitu.

Mpuuzi wewe…Mimi serikali kwa mwezi inanikata zaidi ya laki mbili kwenye mshahara wangu kama kodi,hiyo hawajaridhika nayo wanataka tena kwenye atm huu ni unyonyaji
 
Mpuuzi wewe…Mimi serikali kwa mwezi inanikata zaidi ya laki mbili kwenye mshahara wangu kama kodi,hiyo hawajaridhika nayo wanataka tena kwenye atm huu ni unyonyaji
Kama unakatwa zaidi ya laki mbili ndo uje ulalamike kukatwa buku tatu!!

Na sio unakatwa hiyo ni kodi halali, anayekata ndiye aliyekulipaa…. jivunie hilo kama mzalendo acha kulialia.
 
Nasema wacha wakatwe hata kama vuz* wacha wakatwe tu.
Nyakati za chaguzi hawa watumishi ndio wanajiona babu kubwa kuchakachua matokeo.
Wacha kawakatwe tu bosi wao kasema na kuamua.
 
Ni hivyo tuu, huu utaratibu urudishwe haraka. Sababu iko wazi, makato mapya ya kutoa na kuweka pesa bank hayavumiliki hata kidogo na yanamnyonya mfanyakazi directly sababu hajapewa option(s), yaani automatically anafosiwa kukatwa sababu hakuna njia ya kuuchukua huo mshahara bila kukatwa.

Haiwezekani hako ka salary nikalipie Income Tax, jumlisha makato lukuki na kubaki na ka take home kadunchuuu. Halafu ninapoenda kukachukua hako ka take home bado tena nilipe "Government Levy". Kwa nini nilipie kuchuchukua hako ka take home wakati nimeshalipa "Income Tax?".

Turudi old school tuu, mishahara itumwe kwa wahasibu wa halmashauri husika, kama ni taasisi basi zitumwe kwenye ofisi husika, kisha mtumishi ataamua yeye anapeleka bank ama anakaa nazo.

Old Stone age, ebu usiturudishe nyuma plz, we are in electronic money, ww unarudi wapi?
 
Mishahara yenyewe madeni tupuu, unaenda na wadai wako kabisa kila mtu anachukua chake palepale unabaki na Elfu 50 zako..
[emoji16][emoji16] kweli tumechoka... Wadeni nao hawapo nyuma.
 
Uzalendo ni kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako, yaani serikali ndiyo imekulipa huo mshahara ila ikitaka ikate tena kidogo tu unalialia!

Hii ni sawa na Mungu anayekubariki na kila kitu ila roho yako inauma kumpa chochote kitu.
Ficha upumbavu na ujinga wako kwa heshima ya familia yako.

Nini maana ya Income tax anayokatwa mtumishi kila mwezi?

Serikali inashindwa kutumia rasilimali zilizopo inakuja kumkwangua mnyonge

Kwanini wasikwanguane huko juu kwa mawaziri na wabunge?

Hii nchi inatia AIBU mbele ya nchi zingine
 
Ficha upumbavu na ujinga wako kwa heshima ya familia yako.

Nini maana ya Income tax anayokatwa mtumishi kila mwezi?

Serikali inashindwa kutumia rasilimali zilizopo inakuja kumkwangua mnyonge

Kwanini wasikwanguane huko juu kwa mawaziri na wabunge?

Hii nchi inatia AIBU mbele ya nchi zingine
Litakua ni li UVCCM chakula ya wakubwa.
Ni lijinga kabisa..
 
Back
Top Bottom