Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Wewe huelewi hata unachoandika. Miamala ya kibenki Mtu amewekewa laki 2 na kukatwa 22,000/= wa laki 4 amekatwa 44,000/=Kama unakatwa zaidi ya laki mbili ndo uje ulalamike kukatwa buku tatu!!
Na sio unakatwa hiyo ni kodi halali, anayekata ndiye aliyekulipaa…. jivunie hilo kama mzalendo acha kulialia.
hiyo serikali ina watu wanaofikiria vizuri kweli?