Urgent: Utaratibu wa kupokea mishahara dirishani urudishwe haraka

Ata ukirufishwa izo tozo zitapelekwa kwenye hayo madirisha
 
Uzalendo ni kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako, yaani serikali ndiyo imekulipa huo mshahara ila ikitaka ikate tena kidogo tu unalialia!

Hii ni sawa na Mungu anayekubariki na kila kitu ila roho yako inauma kumpa chochote kitu.
Basi Wasiajiri watu wa kulipwa mshahara, ili hela ibaki huko huko.
kuliko kumdanganya mtu unamlipa 60,000 alafu kwenye hiyo unamkata 15,000 kabla haumjamlipa, na baada ya kumlipa, unataka akupe tena Tsh 10,000 hii si dhulma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…