Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Kumbe MziziMkavu ni mwanamke???? unaposema "wanawake wengi tumekuwa tunaathirika kwa U.T.I kwasababu pedi .." ama ume copy na ku paste tu??!!
Mimi niwe Mwanamke je nitaweka picha ya kiume ili iwe nini? nime kopi sehemu hii sio ya kwangu ninawakumbusha akina dada unasemaje unataka niwe mwanamke upate kunitongoza sema basi?
 
Sifanyi masiara Utafiti!
Mwanzo niliamini MziziMkavu ni me, hii sired ya leo imenipa mshangao!
...
Anyway! Kwa mujibu wa post yako na iyo apo juu, nimeamini Doctor ni Me!
Mimi sio Mwanamke wala Mwanamme mimi ni Malaika nileye jigeuza binadamu munasemaje?nimetumwa na Mungu kuja kuwasaidia Binadamu matatizo yao unasemaje? Kwanini hushangai Mwenyeezi Mungu anaposema sisi katika vitabu vyake vitakatifu je Mungu akitumia neno Sisi utamuweka katika fungu gani? Mungu wapo wengi au Mungu huyo huyo ni Mmoja? Kama alivyo sema Bwana YESU kumuomba Mungu Bwana YESU anatumia neno Baba kumuomba Mungu Je Mungu ni Mwanamme? au Mwanamke? ninaomba jibu lenu hapo?
 
Mi mwenyewe nashangaa.dr we ni ke au me?
Wewe kwanza ninataka kujuwa ni Mwanamke au Mwanamme? na Hii Thread imewahusu wanawake je wewe umekuja kufuata kitu gani huku ? umekuja kuchangia kitu gani kwa wanawake? Ninakuomba jibu toka kwako mbona munakuja kuharibu thread ambazo haziwahusu Someni kichwa cha habari hapo juu kinawahusu akina nani? Hii Thread?
 
Wanapenda sana kavukavu na michepuko au nimekosea maDR
Umekusudia kitu gani? Akina mama wanapenda kavukavu? kwa tendo la ndoa au ngono sisi Wanaume ndio tunao waharibu akina Mama. Kufanya nao tendo la sex unatakiwa wewe Mwanamme umchezee Mwanamke mpaka atoke umaji maji sehemu zake za siri au wakati mwengine akwambie yeye mwenyewe sasa unaweza kuingiza lakini wewe ukisha ona papuchi ya bibie unataka kuingiza pasipo na kumchezea papuchi yake atakosa kuchubuka? muandae mpenzi wako mpaka awe teyari ndio wewe unaingiza hilo dushelele lako.
 
Kumbe MziziMkavu ni mwanamke???? unaposema "wanawake wengi tumekuwa tunaathirika kwa U.T.I kwasababu pedi .." ama ume copy na ku paste tu??!!

Hongera sana Mkuu kwa kuweka somo zuri!
Underline pamenishangaza kidogo! Siku zote hizo natambua MziziMkavu ni mwanaume!




Mzizimkavu


Muombe radhi tafadhali
Mkuu waache kama walivyo wamekuja kutaka kuharibu Thread ambayo haiwahusu waache Shetani anataka kuwapoteza huwezi kuwaongoza watu waliopotea na njia Mungu peke yake ndie atakaye waongoza waombee dua usiwakasirikie.

Hata mimi nililiona bandiko lake lile!
Ngoja akuje anaweza kuondosha huu utata!

Duh! Basi akitumia maelezo ya watu a-acknowledge ati!

Khaa! Utafiti vipi? Tuseme wewe haukuona maelezo yake yalioashiria yeye ni ke?
...
Tumuombe radhi tumemkosea nini?

Mi mwenyewe nashangaa.dr we ni ke au me?

Sifanyi masiara Utafiti!
Mwanzo niliamini MziziMkavu ni me, hii sired ya leo imenipa mshangao!
...
Anyway! Kwa mujibu wa post yako na iyo apo juu, nimeamini Doctor ni Me!

[h=4]Basic Information[/h]
[h=5]About MziziMkavu[/h]Biography
Mim ni Mwanamme ni MTanzania Mzaliwa wa Dares-Salaam, Niliyesoma Dar,na kumaliza mwaka 1980, sasa nipo nje Kikazi ni hivyo tu.Location
European UnionInterests
Watch TV,player Computer and Read bookOccupation
SeamanGender
Male

 

Wewe Mungu? Shiriki hiyo mie simo.
 
Dr. kuna ukwel kwamba papuchi kubwa ndio more vanurable kwa u.t.i?
Papuchi iwe kubwa au iwe ndogo au iwe papuchi ya mnato inategeme wewe Mwanamme ni jinsi gani unavyoweza kuishughulikia ipasavyo tunaficha maneno watoto bado hawajalala saa hizi ndio hivyo mkuu fakenology
 
Last edited by a moderator:

Leo #mzizimkavu wape makavu laivu hao vichwa ngumu
 

mzizi mkavu naomba kujua hizo product za tiba mbadala zinapatikana wapi na ni sh. Ngapi? Nitashukuru kwani wanangu wanasumbuliwa sana na uti
 

mzizi mkavu naomba kujua hizo product za tiba mbadala zinapatikana wapi na ni sh. Ngapi? Nitashukuru kwani wanangu wanasumbuliwa sana na uti
Sijuwi kama hayo Mafuta unaweza kuyapata hpo nchini Kwetu. Ninakurahisha Dawa ya Maradhi Ya (UTI) Fanya hivi


Uchukue Vitango (cucumber) kwa wingi Usage kwa Mashine ya Blender Ufanye juisi Nzito kama Utaweza Uisage Sana Usichuje. Kisha uwe unakunywa kkutwa mara 3 kila siku.


Dawa ingine Unywe Maji ya uvuguvugu sana mara kwa mara, Ule Tikiti maji na Maji ya Madafu Sana. Maji ya dafu na

juisi ya Muwa ni nzuri sana kusafisha mkojo.


Dawa ingine ya Maradhi ya (UTI) Ugonjwa wa U.T.I kwa hivi sasa unasumbua kweli kweli, kutokana na usafi hafifu wa masinki ya misalani yetu n.k,


kwa mtu mwenye tatizo hilo atumie kuchemsha majani ya mpera na kisha anywe kutwa mara tatu glasi kwa muda wa siku 11

Ukiwa na tatizo ya UTI au Urinary Tract Infection nakupa Dawa ya bure na ipo nyumbani...nunua ' Apple Cider Vinega' Siki ya Tufaha madukani kisha chukua kijiko cha meza 'table-spoon'


tia vijiko vitatu vya hiyo Vinega kwa glasi ya maji...kunywa mara tatu kwa siku....utapona kabisaaa...endelea na dose for 4 to 7 days...kama utaona inakuchoma tumbo

punguza uweke vijiko viwe viwili mara tatu kwa siku..

Dawa ingine ya Maradhi ya (UTI) Chemsha Majani ya mpera na kisha anywe kutwa mara tatu glas kwa muda wa siku 11.

Dawa ya mwisho ya Maradhi ya (UTI) Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha

chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.



Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza

tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)


Ukishakaa kama dk 15 hali yako Kuto tapika itarudi kawaida.Baada ya kutumia Dawa siku 7 utapona

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!


TAHADHARI: usitumie dawa zote kwa wakati mmoja. kila dawa inajitegemea yenyewe nimeweke hapo

dawa Tofauti inategeme wewe ni dawa gani utakayoipata kwa urahisi tumia dawa moja kwa muda wake

kisha nenda kapime hospitali kuangalia je umepona hayo Maradhi ya (UTI) ? usipo pona tumia dawa

ingine kwa muda wake mpaka utakapo pona uje unipe Feedback.
 
UTI-means;urinary tract infection/know u
as bladder infection.Haya ni maambukizi yanayoathiri sehemu za njia ya mkojo.Maambukizi haya yakiathiri sehemu za chini za kibofu cha mkojo kitaraamu huitwa SIMPLE CYSTITIS(Bladder infection)na maabukizi hayo yakitokea sehemu za juu za mfumo wa mkojo huitwa PYELONEPHRITIS(kidney infection).dalili za magonjwa haya ni pamoja na(1)Mwili kuwa dhaifu,(2)kujisikia kichefuchefu kilamda(3) mkojo kuwa wa moto zaidi,(4)maumivu wakati wa kukojoa,(5)maumivu kwenye kiuno,(6)tumbo kuuma n.k.Ugonjwa huu husababishwa na bacteria anaeitwa Escherichia col(E.col),pia huambatana na rafiki zake kama vile,staphylococcus,saprophyticus,klebsiella,proteus,pseudomonas,enterobacter n.k,hao ndo baadhi ya wadudu hatari wanaosababisha UTI kuwa sugu.UTI inatibika kwa dawa zifuatazo,Ciprofloxacin,Fosfomycin,Monurol,Furadantin,Sulfamethoxazole,co-trimax,ampicillin,gentamicinn.k.Nina dawa ya mitishamba inayotibu na kusafisha mfumo mzima wa kibofu cha mkojo ni dawa nzurisana.ntafte kwa .0759217720
 


asante sana
 
manajamvi, naombeni mnisaidie maana nashindwa kujua jins UTI inavosambazwa au kusababishwa na madhara yake ktk mwili wa binadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…