U.T.I ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa mkojo wa binadamu{urinary system}ugonjwa huu unasababishwa mara nyingi na aina moja ya bacteria anayeitwa ESCHELICHIA COLI,ugonjwa huu unaweza ukawapata wanawake na wanaume .Kutokana na swali lako ugonjwa wa U.T.I kwa mwanaume unasababishwa na njia nyingi kama vile ushoga[homosexual},kunywa maji yasiyo salama,kushea nguo za ndani{chupi},kushea choo kichafu na watu mbalimbali,kuanika nguo za ndani nje .n.k.
Na dalili za huu ugonjwa ni homa kali[fever},kukojoa mkojo mzito na wenye harufu kali[clouds urine},pia unaweza ukapata maumivu chini ya kitovu[abdominal pain} na maumivu wakati wa kukojoa.Ila si lazima ukiumwa huu ugonjwa uwe na dalili zote hizi nilizozitaja unaweza ukapata dalili mojawapo kati ya hizi.
Mwanaume anayeumwa U.T.I akifanya mapenzi na mwanamke anaweza akamwambukiza au kutomwambukiza inategemea na jinsi walivyofanya hayo mapenzi.matibabu ya U.T.I ni unapewa antibiotics kama vile ceftriaxone,rimfapicin gentamycin n.k.