Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Mizizi ya mpapai uliokomaa, osha vizuri chemsha na unywe glass moja asubuh na jioni kwa muda wa wiki moja. Hakikisha unakunywa ikiwa vuguvugu. Pia inaponya magonjwa mengine kama typhoid, gonorrhea
 

Hakuna kitu inaitwa uti sugu wewe ni mvivu kufata dose kwa utaratibu unaofaa sasa unajikuta unatengeneza resistance ya dawa, dawa inakuwa weak kwa bacteria na unakuwa huponi uti sasa basi baking soda sio dawa ya uti huo ni ujanja janja tu wa mitaani niambie mara ya mwisho umetumia dawa gani.
 
CIPROFLAXIN OD..na ukinywa hiyo dawa haiwezi kukurudia tena na utasahau ugonjwa wa UTI au labda uzini tena na mtu mwenye huo ugonjwa akupe tena
 
Wadada hampon UTI sabab unakunywa dawa peke yako akat anaekutindua hanywi dawa,na ukizingatia wanaume sometime wanakua ni Carriers tuu wa hao wadudu,so we unakunywa,unazingatia usaf ila bado unaenda kukutana na jamaa yako anakugonga anakupa tena wadudu...tumien akil
 
Elewa kua UTI ni mkusanyiko wa magonjwa yote yanayoathiri mfumo wa mkojo ikiwemo kichocho,kisonono ,tricomonas,kaswende nk.Hivo bas unapopimwa kimaabara haupaswi kuambiwa tena neno UTI--(urinary tract infections) majibu ya maabara yaonyeshe mojawapo ya ugonjwa katika hilo kundi la uti. Ili uweze kupewa dawa stahiki kulingana aina ya gonjwa lililopatikana toka uti.
 
Wakuu poleni na majukumu kama kichwa cha mada kinavyo jieleza,nina miezi 3 sasa nasumbuliwa na UTI isiyopona nilianza kujisikia kuwashwa kwenye njia ya mkojo Dec.2017 nikaenda hospitali baada ya vipimo ikaonekana nina UTI Dr akaniandikia dawa amoxilin nikatumia kwa ufasaha.

Mwaka huu 2018 mwezi wa kwanza nikaanza tena kuhisi maumivu kwenye njia ya mkojo na safari hii mpaka kwenye korodani nikarudi tena hospitali Agakhan wakachukua vipimo vya mkojo na damu majibu yalipotoka ikaonekana sina magonjwa mengine ya zinaa bali UTI Dr akanipa cefalexin capsule na zenyewe nikatumia vyema hali ya maumivu ikapotea kwa muda.

Mwezi huu wa pili nikaanza kuhisi maumivu sehemu za ubavuni karibu na nyonga,maumivu ya korodani na njia ya mkojo nikaamua kwenda hospitali ya rufaa baada ya kutoa maelezo Dr akaniandikia kipimo cha utra-sound,x-ray,na culture sensitivity majibu yalipotoka ikaonekana kwenye mkojo hakuna mdudu aliyeota,utra sound ikaonyesha kuna bacteria kwenye kibofu cha mkojo.

Nikaandikiwa Ciprofloxacin kwa siku 30,kabla sijatoka nikamueleza Dr.kuwa nina sumbuliwa na gastritis kwa muda mrefu na cipro ni moja kati ya dawa zinazonisumbua sana nikitumia Dr akanijibu hakuna mbadala cipro ni dawa nzuri tu,ila kanywe ukishindwa basi.

Sasa nimejitahidi nimekunywa kwa siku nane,tumbo likaanza kuuma sana hata kula ni kwa shida,nimeamua kuacha.

Naomba ushauri nitumie dawa gani?hakuna sindano mbadala wa cipro vidonge?
 
Mkuu pole sana vipi kuhusu typhoid nayo umepima, maana haya magonjwa sasa yamekuwa km HIV maana hayaishi mwilini.

Nami nimeenda hospital juzi kwa matatizo km yako ila kwa sasa wameniambia nisubirie majibu ya culture sensitivity. ila wameniambia gharama ya kipimo hiki ni elfu 20!! tena nimepima ktk hospital ya serikali, hivi nawe mkuu kipimo hiki umelipia kiasi km hiko?
 
Mkuu pole sana vipi kuhusu typhoid nayo umepima, maana haya magonjwa sasa yamekuwa km HIV maana hayaishi mwilini.
Nami nimeenda hospital juzi kwa matatizo km yako ila kwa sasa wameniambia nisubirie majibu ya culture sensitivity. ila wameniambia gharama ya kipimo hiki ni elfu 20!! tena nimepima ktk hospital ya serikali, hivi nawe mkuu kipimo hiki umelipia kiasi km hiko?
Mkuu natumia Bima ila kiukweli huu ugonjwa ni tatizo ,nimekosa amani kabisa.
 
Nilipata tatizo kama lako, nikatumia Dawa nyingi sanaaa, fanya vipimo vyote wapiiii UTI haitaki kutoka.

Nikaona hapa ntaumbuka, nikaongea na bro ni pharmacist akaniandikia Dawa na sindano mbili nilichoma zote pamoja,UTI ikakata akanambia ninywe na madafu kila siku, nikawa nakunywa mpaka matatu(nilipania kupona ) sasa hivi niko Poa ile mbayaaa
 
Hakuna UTI sugu, mara nyingi watu wanakuwa na magonjwa ya zinaa (UTI sio ugonjwa wa zinaa) lakini hawapati matibabu sahihi dawa/dozi/muda wa matibabu ni tofauti kati ya UTI na magonjwa ya zinaa.
 
Mkuu pole sana vipi kuhusu typhoid nayo umepima, maana haya magonjwa sasa yamekuwa km HIV maana hayaishi mwilini.
Nami nimeenda hospital juzi kwa matatizo km yako ila kwa sasa wameniambia nisubirie majibu ya culture sensitivity. ila wameniambia gharama ya kipimo hiki ni elfu 20!! tena nimepima ktk hospital ya serikali, hivi nawe mkuu kipimo hiki umelipia kiasi km hiko?
Regency hospital kipimo cha culture sensitivity ni tsh 58,000/=
 
Back
Top Bottom