Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Ultrasound Iliona Bacteria kweli!! ? Majibu ha Culture & Sensitivity yakoje??
 
Sasa Culture and sensitivity Negative Ultrasound itaoneshaje bacteria? Watu hawaponi mara nyingi kwa sababu wanatibu wasicho kijua.
 
Tumia amoxillin & clavulanate potassium clavan 625 baada ya siku mbili tu umepona
 
Kuna kaukakasi kidogo kati ya UTI na STI ndiyo asili ya tatizo.Muone venereologist kwanza,wapo wengi tu.
 
Nenda maduka ya dawa za asili ulizia 'uwatu' ya unga weka uwatu hii kijiko kimmoja kwenye dafu kunywa fanya hivyo siku saba, leta mrejesho
 
Nenda maduka ya dawa za asili ulizia 'uwatu' ya unga weka uwatu hii kijiko kimmoja kwenye dafu kunywa fanya hivyo siku saba, leta mrejesho
Lazima kwenye dafu peke ake??
 
Dawa rahisi ya UTI ni mtindi ule mchachu. Kunywa kila siku iwe unaumwa ama mzima
 
Ukishindwa basi chukua baking soda kunywa kwa siku saba nusu kijiko cha wali weka kwenye maji glas moja mara tatu kwa siku. Kumbuka kunywa maji glas nane kila siku
 
Nenda katika maabara zinazofanya Culture and sensitivity ili mkojo wako ufanyiwe hiyo C/S ya urine ili kupata dawa sahihi na tatizo lako litakwisha kabisa.
 
Sindano sijadungwa wanaandika midawa tu
Kama hujawai dungwa sindano basi bado hujajitibu. Kafanye culture sensitivity kisha upigwe Sindano.

Acha kujamiiana bila kondomu angalia vyoo unavyotumia

Ila sindano ni mwisho wa problem
 
Badili lifestyle

Kunywa maji ya kutosha
Ukipata maji ya madafu nayo ni poa

Kula matikiti ukipata nafasi.

Hakikisha unawaga maji ya kutosha maliwatoni
 
Wakuu poleni na majukumu kama kichwa cha mada kinavyo jieleza,nina miezi 3 sasa nasumbuliwa na UTI isiyopona nilianza kujisikia kuwashwa kwenye njia ya mkojo Dec.2017 nikaenda hospitali baada ya vipimo ikaonekana nina UTI Dr akaniandikia dawa amoxilin nikatumia kwa ufasaha...
Jambo ni moja tu ACHA KULA TIGO,acha kujiharishia au UNAOWALA PEKU WAFUNDISHE USAFI WA MWILI HASA SEHEMU ZAO ZA SIRI.
UTI=Ni wadudu toka mkunduni/kwenye mavi kuingia ktk mfumo wa mkojo in your case mboloni.
 
Mkuu mm nna u.t.i ya tangu 2015/6 adii Leo sjawah pnaa. Nmepgaa cndno nmekulaa dox lkn wapii. Kbof knaniumaa mnoo. Ushaurii
 
Nilipata tatizo kama lako, nikatumia Dawa nyingi sanaaa, fanya vipimo vyote wapiiii UTI haitaki kutoka.

Nikaona hapa ntaumbuka, nikaongea na bro ni pharmacist akaniandikia Dawa na sindano mbili nilichoma zote pamoja,UTI ikakata akanambia ninywe na madafu kila siku, nikawa nakunywa mpaka matatu(nilipania kupona ) sasa hivi niko Poa ile mbayaaa
Aisome happymwashi
 
Back
Top Bottom