Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mwaya, jitahidi kufuata masharti ya daktari.
Inawezekana mwenzio naye ana maambukizi kwa hiyo ukijitibu mwenyewe ni kazi ya bure.
Nenda hospitali ya peramiho kwa uchunguzi zaidi.
Hakuna majibu hayo sio sahihi..wewe lazima una ukimwi maana hizo dalili ni za kimwi
Soma Hapa
Hakuna majibu hayo sio sahihi..wewe lazima una ukimwi maana hizo dalili ni za kimwi
Una ukimwi wewe..huwezi kupona
Una ukimwi wewe..huwezi kupona
Asante sana Fadhili
Nina rafiki yangu. Karibu mwaka sasa anasumbuka na ugonjwa ambao alielezwa ni uti.
DAlili:
1. Maumivu makali sehemu za siri, tumbo na mgongo. Mkojo unauma sana na ni wa njano/mwekundu.
MATibabu :
2. Ametibiwa hospitali 3 tofauti wakamwambia ni UTI baada ya vipimo. Alikwenda kwenye dispensary moja miezi michache iliyopita wao wakamwambia ni fungus.
Matokeo:
3. Tangu aanze kutumia dawa kama alivyoelekezwa ugonjwa umekuwa ukitulia na kurudi. Hivi Jana hali imerudi kama mwanzo.
Ombi:
4. Ushauri unahitajika juu ya wapi hasa tiba sahihi inaweza kupatikana. Asanteni wakuu
Nina rafiki yangu. Karibu mwaka sasa anasumbuka na ugonjwa ambao alielezwa ni uti.
DAlili:
1. Maumivu makali sehemu za siri, tumbo na mgongo. Mkojo unauma sana na ni wa njano/mwekundu.
MATibabu :
2. Ametibiwa hospitali 3 tofauti wakamwambia ni UTI baada ya vipimo. Alikwenda kwenye dispensary moja miezi michache iliyopita wao wakamwambia ni fungus.
Matokeo:
3. Tangu aanze kutumia dawa kama alivyoelekezwa ugonjwa umekuwa ukitulia na kurudi. Hivi Jana hali imerudi kama mwanzo.
Ombi:
4. Ushauri unahitajika juu ya wapi hasa tiba sahihi inaweza kupatikana. Asanteni wakuu
Habar waungwana, ninapenda kuuliza kua ugonjwa wa u.t.i uanweza kumpelekea mtu kupungua nguvu za kiume?
na kama ni hivyo nifanye nn kutatua tatizo hilo?
ahsanten sn, ushauri wenu n muhim sn kwangu.
Muhimu sana kutazama mazingira unayoishi, pengine maambukizi yanatoka kwa partner wako unaeishi nae, au choo / bafu unachotumia kama cha kazini au nyumbani.
Kama hali inaendelea na upo tayari kutumia dawa za kiasili wasiliana nami ntakupataia kwa bei nafuu. Mimi si mganga wa kienyeji isipokuwa kuna dawa za asili nizijuazo, mojawapo ni hiyo ya UTI.
Pitia hapa kwa namba za simu na mawasiliano mengine: https://www.jamiiforums.com/matanga...ural-unaolainisha-ngozi-sasa-unapatikana.html