Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Ni Muda gani unayo UTI na hospital wamekupa dawa gani na una msichana huwa mnakutanaga kimwili mara kwa mara?

Hakuna msicha ninae kutana nae mara kwa mara na hili tatizo ni tokea mwaka jana kati ya mwezi wa tisa au wa kumi
 
Sababu kubwa ni kutokuosha tupu zenu mnapokwenda haja.
 
Nilikwenda hospital nkaambiwa na dokta ukitumia maji kinyesi kinarudi kwenye njia ya mkojo wale vijidudu vinakuwaga kwenye kinyesi hvyo unatakiwa uanze na toilet paper halafu maji yafuate usianze na maji direct

mmmmh hii mbona mpya
 
Kwa wale Bado hamjapona haya Maradhi ya UTI nitafuteni dawa ya kuweza kuwatibu Maradhi ya UTI ninayo ukinihitaji mimi nikutibu bonyeza hapa.Mawasiliano



 
Kwahyo nikienda kukojoa naoshaje yangu?

jisafishe kutoka mbele kwenda nyuma,especially ladies,pia nguo za ndani ziwe kavu muda mwingi,na kabla ya kutumia choo flush kwanza,na kunywa Maji mengi,
siku moja usiku nilipata dalili za uti usiku ghafla hivi,kesho yake bahat nzuri nlikua nashinda home,so nilishinda siku nzima nkanywa lita 5 zikaisha,the next day nilikua niko fiti,maji ni vizuri ila adha ni kwenda kujisaidia kila saa ,
 
mmmmh hii mbona mpya

uwo ndo ukwel wa mambo na ndio maana UTI tuna iweka kama common bacteria infection kwa wanawake kwasababu ya mtindo wao wakunawa kutokwa nyuma kwenda mbele hapa unajkuta unawatoa Normal flora( wadudu wasio na madhara) waishio kwny utumbo mpana kama E.coli,proteus&pseudomnas kwny sehemu yao ya asili...watakapo fka kwye njia ya mkojo ndipo wanapo geuka pathogen naku shambulia Urinary tract....pia ushaji sana wa sehemu ya kike(uke) nayo uchangia mwanamke kupata UTI inayo sababishwa na fangasi( candidias) kwani kuosha sana nikuondoa wadudu wasio na madhara katika eneo hilo ambao ndio wana saidia ku comptet na pathoges kama candidas ivyo wakfa inakuwa rahisi kwao kuleta magonjwa.!!

NOTE: UTI kwa mwanamke ni gonjwa la kawaida na la bahati mbaya...ila UTI kwa mwanaume ni gonjwa la zinaa..nki maanisha mwanaume upata UTI kwa njia ya sex..!! Tiba ya UTI ni gentamycn(iv) sindano za mishipa ya venous..any antbiotic yaweza kuwa drugs of choice.
 
kuna dawa naweza kukupatia inaitwa lycopen itakusaidia 0655731345
 
Back
Top Bottom