masakafyuku
Member
- Jan 13, 2013
- 25
- 2
kufanya tendo la ndoa kipindi mwenzi wako ametoka kumaliza dozi ya UTI na bila kutumia kinga kunaweza kusababisha kuambukizwa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEWE NII JINSIA GANI NDUGU YANGU Riwa COME THIS WAY KAKA MKUU hippocratessocrates HERI YA MWAKA MPYA WAKUU ZANGU MSAIDIENI
Tumia Azithromycin, Capsules USP 500g, kidonge 1 kila siku kwa siku 5. Hakikisha unatumia na huyo anaye ku-do kwa tiba ya uhakika.
Pole mdada. Angalia pia usafi wa choo chenu ikishindikana jaribu kumuona dokta kapona ana clinic kila siku pale Tumaini Hospital!
Yes Dr Kapona atakusaidia, ila hayupo Tumaini tena, siku hizi ana clinic/hosptl yake kule Chanika.
Somo zuri ,je wewe ni Dactari?