Urusi haikuwa na makoloni Afrika, lakini ilikuwa na makoloni huko Siberia inayomiliki hadi leo

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Waafrika wanaoishabikia urusi hudai kuwa haikuwa kuwa na makoloni afrika kama mabeberu. Wasichojua ni kwamba urusi ilikuwa na makoloni makubwa sana huko Asia na bado inayamiliki hadi leo pamoja na kuwa Afrika yote leo iko huru.

Kwa mfano mpaka leo Siberia ni koloni la urusi pamoja na kuwa na bunge lao na sarafu yao (Siberian Rouble) na wanajulikana ka Republic of Siberia lakini bado wanamilikiwa na urusi kama koloni.


View: https://www.youtube.com/watch?v=4gMrVgIf120
 
 

Attachments

  • Screenshot_20241104_150938_Samsung Internet.png
    708.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…