Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa
[emoji848] we itakuwa soldier.Huyu dogo anapewa adhabu ndogo anatakiwa anyongwe kabisa
Hata pale ulaya ukikanusha kwamba hakukuwahi kutokea mauaji ya WAYAHUDI unaweza kupigwa ndani milele
Dogo anyongwe asikae ndani akala bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo mjinga huyo, situation kama hiyo unaanza kuleta mambo ya ukosoaji.Nchi ambazo mambo yake huwa magumu huwa hawataki kusikia ubaya wao, ukiwakosoa au kuwaongea vibaya unaweza uawa,
Solutely true,, amekiuka, sheria ifate mkondo wake. Over.Kila nchi Ina utaratibu wake,msilazimishe mambo ya west ndio iwe uwe utaratibu Dunia nzima!Umeshindwa kuendana na utaratibu wa nchi nenda huko panakokufaa!Wengine ndio wanatumika na mataifa mengine kuanzisha chokochoko za ghasia!
Russia Iko vitani,na Kuna sheria zimepitishwa ndio maana mahakama itaamua kama amekiuka sheria au la!
Huo ndio utaratibu waliojiwekea,full stop!
Hapana BOSS ila kuna mambo yapo wazi sana hata kama hatuyapendi lazma tuseme[emoji848] we itakuwa soldier.
Aisee kweli kabisa.Hapana BOSS ila kuna mambo yapo wazi sana hata kama hatuyapendi lazma tuseme
Katika hali iliopo nchi husika wakati kama huu lazma uangalie unasema nn nakwanini labda uwe umekubali lolote na liwe
Leo uende ukawatetee BOKO HARAM kwa wanachokifanya pale NIGERIA basi inatakiwa upewe adhabu kali sana ikibidi KUFA
Sent using Jamii Forums mobile app