Juuchini
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 1,644
- 2,300
Halafu anamkoromeaje mrusi Kama kinu chake mwenyeweMarekani ilikijenga hicho kinu mwaka gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu anamkoromeaje mrusi Kama kinu chake mwenyeweMarekani ilikijenga hicho kinu mwaka gani??
Halafu anamkoromeaje mrusi Kama kinu chake mwenyewe
Kama amekiachia mbona marekani anakoroma?tumia Akili hicho bado kipo Chini ya warusi mileleKinu sio cha Urusi tena, alishakiachia kwa Ukraine.
Kama amekiachia mbona marekani anakoroma?tumia Akili hicho bado kipo Chini ya warusi milele
Mbona analalamika kuwa warusi wasiibe technologia yake ya nuclear?aandike ameumia Kwa Sababu hicho kituo kitakuwa cha warusi milele.Nini maana ya milele? Marekani anakoroma kwa uvamizi mzima wa Ukraine. Hii ndoto ya Putin unayoizungumzia hapa ndio inayopingwa na nchi zote zilizostaarabika duniani. Mipaka ya kila nchi lazima iheshimiwe.
Nina uhakika putin hiko ndicho alichokitaka, kubeba hiko kiwanda.Ndio eneo kilipo kinu hiki ni miongoni mwa maeneo aliyochukua urusi na yapo chini yake na kashatoa baraka yaunganishwe na urusi rasmi
Urusi Hana shida ya maeneo ila Kwa kireherehe cha Ukraine ameamua kuchukua Maeneo yake alafu unaita Marekani nchi iliyostaarabika nakuona huna AkiliNini maana ya milele? Marekani anakoroma kwa uvamizi mzima wa Ukraine. Hii ndoto ya Putin unayoizungumzia hapa ndio inayopingwa na nchi zote zilizostaarabika duniani. Mipaka ya kila nchi lazima iheshimiwe.
Watu wanachukua maeneo Kwa target.Nina uhakika putin hiko ndicho alichokitaka, kubeba hiko kiwanda.
Kabisa aisee, huyu mwamba alihitaji hiko kiwanda tu. Mmarekani analijua vizuri hilo ndo maana analalamika sana!Watu wanachukua maeneo Kwa target.
Nina uhakika putin hiko ndicho alichokitaka, kubeba hiko kiwanda.
Mimi naona sababu ni ileile, ila kuimaliza hiyo basi target ya kwanza (mavuno yaliyonona) ni hiko kiwanda.Putin ana sababu ngapi za kuivamia Ukraine?
Kila siku mnakuja na sababu mpya! Zitafika milioni
Lakini risk ya nordstreem ni bora kuliko nuclear plant hii ni big risk kwa U.S.AKimsingi Marekani walijua kuwa uwenda Urusi itakuja kuivamia Ukraine ila walihisi pia Urusi itahofia kuivamia Ukraine cos bado hajawa sawa kiuchumi! mwaka 2014 baada ya Urusi kuichukua Ukraine, Maekani aliimbia Urusi kuwa endapo wataivamia Ukraine kijeshi basi mradi wa Nord Stream 2 utafikia mwisho! hapa naamini walikuwa wanahisi japo waliamini vitisho vya vitaweza kumfanya Urusi agope.
Main character ni kuhofia usalama wa urusi baada ya magharibi kuongeza military activities jirani na urusiPutin ana sababu ngapi za kuivamia Ukraine?
Kila siku mnakuja na sababu mpya! Zitafika milioni
Kama hujui long time warusi walisha jimilikisha na tayari kimeunganishwa kwenye grid ya umeme ya Urusi kikihakikisha maeneo manne yaliyo jiunga na Urusi yanapata umeme.Kama ni sahihi hiki Marekani wanacholalamika kuhusu kinu cha nyuklia kilipokonywa mikononi mwa Ukraine
Ni wazi Putin alikuwa sahihi kwa usalama wa nchi yake
Tatu; Kwa hii vita Marekani ni looser kwa hasara zaidi kuliko Russia kwa sababu gharama iliyotumika kujenga kinu hiki
Nne; Pia hasara kwa usalama wao wa taarifa za kinyuklia zitakuwa zimevuja mikononi mwa adui. Itakayofanya adui afanye reverse technology
Tano; Najiuliza km Marekani yupo vizuri kwenye intelligence, je hakujua km kuna siku kitu km hiki kingeweza kutokea au intelligence ya Urusi ilikuwa makini sana kuandaa secret SMO( special military operation) bila Marekani kujua?
Sita; Kama hiki kinu hakikuwa na nia ovu dhidi ya Russia kwanini kijenge Mashariki mwa Ukraine karibu na Urusi bali kisijengwe upande wa Magharibi jirani na Poland?
Marekani wanasema ni kosa kutumia mifumo ya kinyuklia km hujapewa idhini yake hivyo Urusi hatakiwi kugusa kinu hicho labda waombe idhini kutoka Serikali ya Marekani...
Kinu hiki inasadikika ndio kinu kikubwa cha nyuklia bara zima la Ulaya ndio maana Marekani anahaha na kutoa onyo kali kwa Urusi wasikiguse
Mpaka hapa inadhihirisha Marekani ndio muazilishi wa chokochoko Ukraine pia Ukraine ni sanamu tu ila anaeliongoza sanamu hilo ni Marekani
Je, kinu kitarudi Marekani maana kipo katika mkoa wa Zaporizhzhia mkoa mpya ulio chini ya Urusi kutoka mikononi mwa Ukraine au ndio kujaribu kuirudisha mikoa hio ndio mwanzo wa vita kubwa ya tatu?
View attachment 2593057
Bado pia hakuwa anajua kama Urusi anaweza kufikia pale alipo leo! kiufupi tuseme Interejensia ya Marekani nayo haiku perform vizuriLakini risk ya nordstreem ni bora kuliko nuclear plant hii ni big risk kwa U.S.A
Sasa kwanini marekani anabweka kama mbwa koko?Umeandika utumbo gani?
Marekani haijawahi kujenga kinu cha nuclear Ukraine, hiko kinu kilijengwa na Urusi yenyewe.
Kumbe alijenga Mrusi basi ni mali yake. Yuko sahihi kuichukua.Kinu sio cha Urusi tena, alishakiachia kwa Ukraine.
Issue sio ile nuclear premises....issue ni technology iliopo mle ndio maana wamecourt neno America nuclear technology .....Kama hujui long time warusi walisha jimilikisha na tayari kimeunganishwa kwenye grid ya umeme ya Urusi kikihakikisha maeneo manne yaliyo jiunga na Urusi yanapata umeme.
Muulize km kinu cha urusi io American nuclear technology ilitoka wapKumbe alijenga Mrusi basi ni mali yake. Yuko sahihi kuichukua.
Kabla na baada ya uvamizi ni kipindi gani military activities zimeongezeka zaidi Ukraine?Main character ni kuhofia usalama wa urusi baada ya magharibi kuongeza military activities jirani na urusi