Urusi ilikuwa sahihi kuivamia Ukraine

Urusi ilikuwa sahihi kuivamia Ukraine

Mimi naona sababu ni ileile, ila kuimaliza hiyo basi target ya kwanza (mavuno yaliyonona) ni hiko kiwanda.
Kama tu vile ambavyo mpwa wake Marekani (Israeli) hataki Iran iwe na vinu vya ^knew-clear^ kungani mwake.
 
Bado pia hakuwa anajua kama Urusi anaweza kufikia pale alipo leo! kiufupi tuseme Interejensia ya Marekani nayo haiku perform vizuri
Unaweza kuwa na intelijensia, ila kama huna nguvu ya kutimiza malengo yako na kumzuia adui, maarifa hayo ni kazi bure.
 
Kama ni sahihi hiki Marekani wanacholalamika kuhusu kinu cha nyuklia kilipokonywa mikononi mwa Ukraine

Ni wazi Putin alikuwa sahihi kwa usalama wa nchi yake

Tatu; Kwa hii vita Marekani ni looser kwa hasara zaidi kuliko Russia kwa sababu gharama iliyotumika kujenga kinu hiki


Nne; Pia hasara kwa usalama wao wa taarifa za kinyuklia zitakuwa zimevuja mikononi mwa adui. Itakayofanya adui afanye reverse technology

Tano; Najiuliza km Marekani yupo vizuri kwenye intelligence, je hakujua km kuna siku kitu km hiki kingeweza kutokea au intelligence ya Urusi ilikuwa makini sana kuandaa secret SMO( special military operation) bila Marekani kujua?

Sita; Kama hiki kinu hakikuwa na nia ovu dhidi ya Russia kwanini kijenge Mashariki mwa Ukraine karibu na Urusi bali kisijengwe upande wa Magharibi jirani na Poland?

Marekani wanasema ni kosa kutumia mifumo ya kinyuklia km hujapewa idhini yake hivyo Urusi hatakiwi kugusa kinu hicho labda waombe idhini kutoka Serikali ya Marekani...

Kinu hiki inasadikika ndio kinu kikubwa cha nyuklia bara zima la Ulaya ndio maana Marekani anahaha na kutoa onyo kali kwa Urusi wasikiguse

Mpaka hapa inadhihirisha Marekani ndio muazilishi wa chokochoko Ukraine pia Ukraine ni sanamu tu ila anaeliongoza sanamu hilo ni Marekani

Je, kinu kitarudi Marekani maana kipo katika mkoa wa Zaporizhzhia mkoa mpya ulio chini ya Urusi kutoka mikononi mwa Ukraine au ndio kujaribu kuirudisha mikoa hio ndio mwanzo wa vita kubwa ya tatu?

View attachment 2593057
Wagner wanajiondoa kwenye vita huko Bakhmut wameshindwa vita., sasa utajua kama sijui ni sahihi au si sahihi mtu anakula adabu
 
Back
Top Bottom