Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana kichapo watachezea waliowafadhili na wanajulikana ni NATO hasira zitaishia ukraineMbona Kama Ni asili ya huko huko urusi ama hawamtaki putin
Kuna watu wamekimbilia kusema IS,ila mpaka kuna dalili IS hausiki.Mzuka wanajamvi,
Vyombo vya usalama Urusi zimetoa picha na majina ya waliohusika na shambulio la kigaidi jana Usiku Moscow.
View attachment 2942545
Ndio ni asili ya urusi kwenye majimbo yenye waislamu wengi kama Chechnya, Dagestan, South na North Osetia na Ingushetia pia sehemu za Georgia kama Abkhazia Urusi iliyoannex.Mbona Kama Ni asili ya huko huko urusi ama hawamtaki putin
sijui walidhani hawatokamatwa?? akili zingine bwana. wamechoka kula mbususu hawa wana hamu ya kusulubiwa. mbususu zilivyo tamu huu ujinga wa ugaidi siwezi fanya.Spetnaz wanajinoa, watapitia mateso ambayo sio rahisi kusimulia
Hapana mkuu Marekani haijahusika. Ila CIA walipata tips ya intelejensia kutoka Afghanistan na kuwatonya FSB. Hata hivyo jumanne iliyopita marekani ikaendelea kumtahadharisha urusi. Lakini Putin akapuuzia nakusema provocativeNdo maana kichapo watachezea waliowafadhili na wanajulikana ni NATO hasira zitaishia ukraine
Hahahahaha..sawa sawaHaya ndio mambo ninayoyapenda.
ISIS ipo Hadi msumbiji sembuse urusiKuna watu wamekimbilia kusema IS,ila mpaka kuna dalili IS hausiki.
Hahahahaha..hao watapitia Wakati mgumu sana...huku mtiririko ukiendeleaa wa msakosijui walidhani hawatokamatwa?? akili zingine bwana. wamechoka kula mbususu hawa wana hamu ya kusulubiwa. mbususu zilivyo tamu huu ujinga wa ugaidi siwezi fanya.
Wangu hata mimi napenda sana investigation. Nakumbuka hata Turkey walivyoshambuliwa na hawa umbwaa instanbul jinsi vyombo vya usalama walivyofanya kazi yao kwa weledi nilibaki kushangaa. Hadi kuwakamata.Haya ndio mambo ninayoyapenda.