ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Huku bongo wangeitwa watu wasiojulikana. Hakika tumetofautiana kwenye medani za investigationYani hapa siku mbili hizi niko busy kufuatilia hilo pekee.
Uzuri Russia nao wananipa raha, mambo yanaenda kasi na kwa weledi.