Urusi imetoa picha na majina ya magaidi waliokamatwa baada ya tukio la jana moscow.

Urusi imetoa picha na majina ya magaidi waliokamatwa baada ya tukio la jana moscow.

Hapana mkuu Marekani haijahusika. Ila CIA walipata tips ya intelejensia kutoka Afghanistan na kuwatonya FSB. Hata hivyo jumanne iliyopita marekani ikaendelea kumtahadharisha urusi. Lakini Putin akapuuzia nakusema provocative
Ila jamaa kukamatwa wakielekea Ukraine na wanasema walikua na mawasiliano na watu ambao wapo upande wa Ukraine itawapa shida, Ukraine na wafadhili wake
 
Mama.e ndio maana huwa wanasema Russia is not for beginners. Hivi unafanya tukio Moscow unategemea usikamatwe? Hawa jamaa ni kati ya watu wana intelijensia ya hali ya juu katika medani ya kivita.

Ninachojiuliza waliwezaje kusuka mpango wote mpaka kufikia kufanya hilo tukio bila hapa kati kuingiliwa. Lazima hawa nao wana mkono mrefu uliowawezesha kukamilisha ugaidi huo.
 
Wangu hata mimi napenda sana investigation. Nakumbuka hata Turkey walivyoshambuliwa na hawa umbwaa instanbul jinsi vyombo vya usalama walivyofanya kazi yao kwa weledi nilibaki kushangaa. Hadi kuwakamata.
Jamaa wamesema hawataki investigation wala upuuz mwingine, wao sasa ukishikwa ni kupelekewa moto tu na wamesema wataziwinda hadi familia zao na wafadhili wao ,jamaa wanapeleka kifo
Screenshot_20240323-141654_RT News.jpg
 
Ila jamaa kukamatwa wakielekea Ukraine na wanasema walikua na mawasiliano na watu ambao wapo upande wa Ukraine itawapa shida, Ukraine na wafadhili wake
Iyo kuelekea Ukraine labda walishaplan in advance escaping route wakidhani itafanikiwa.

Hii style ya Ugaidi ilianza na Mumbai ikatungiwa Mumbai Style. Ikaja Westgate Kenya na hawa jana.

Ni ngumu sana kuizuia kwasababu wanatumia assault rifles na grenade. Wanarusha grunade ili kuwachanganya hadhara na kuanza kufua risasi bila kubaguliwa kwa yoyote mbele yao.

Wale wa Mumbai India waliambiwa lazima waue watu wengi iwezekanavyo na wao pia lazima wafe wasikamatwe hai.

Lakini mmoja wao alidakwa akibadilisha magazine akawasihi wamuue wasimuache hai.
 
Mama.e ndio maana huwa wanasema Russia is not for beginners. Hivi unafanya tukio Moscow unategemea usikamatwe? Hawa jamaa ni kati ya watu wana intelijensia ya hali ya juu katika medani ya kivita.

Ninachojiuliza waliwezaje kusuka mpango wote mpaka kufikia kufanya hilo tukio bila hapa kati kuingiliwa. Lazima hawa nao wana mkono mrefu uliowawezesha kukamilisha ugaidi huo.
Siyo mara ya kwanza Moscow au Russia kuvamiwa na magaidi
 
Wangu hata mimi napenda sana investigation. Nakumbuka hata Turkey walivyoshambuliwa na hawa umbwaa instanbul jinsi vyombo vya usalama walivyofanya kazi yao kwa weledi nilibaki kushangaa. Hadi kuwakamata.
Yani hapa siku mbili hizi niko busy kufuatilia hilo pekee.
Uzuri Russia nao wananipa raha, mambo yanaenda kasi na kwa weledi.
 
Nchi yeyote wakisha kuwepo waislam zaidi 30% lazima shida itokee ndo maana nchi za kiislam democracy haiwezi fanya kazi maana kiongozi wa nchi lazima awe ngangari mfano gadaffi au sadam ili nchi iiende ni uarabuni yote viongoz wao wako makini sana na vikundi vya hovyo na wanajua jinsi ya kudeal navyo kimya kimya

Waislam wana tabia ya kuunda vikundi mkitofautiana jambo tu dogo silaha mkononi kutoka na mafundisho ya dini yao

Nchi zao zinatawaliwa na mkono wa chuma bila hivyo ni fujo ...... hata hapa tanzania walianza mkono wa chuma ukapita pale kibiti na mapango ya amboni sasa hivi wapo huko msumbiji
 
ISIS ipo Hadi msumbiji sembuse urusi
Sizani kwenye issue hii Russia watafikiria kama ufikiriavyo ww,kuna vitu vingi sana nyuma yake.Kwanza asili ya IS ni US kwani hata misaada alikuwa anaipa kwa ajili ya kumuondoa Assad Syria, kabla hawaja kitangaza kuwa kikundi cha kigaidi ila baadae Russia alifanikiwa kumbakisha Assad madarakani, pili vita na Ukraine mwezi huu pekee Russia ameangamiza askari wasio pungua 2500 Ukraine na kumbuka kwenye vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutokea EU na US,ambao wanafadhiliwa na hizi nchi husizani kama wamependa raia wao kuangamizwa.

So ktk hili husizani Russia ataenda directly kwenye mlengo wa kidini atachimbua kuanzia chini na unaweza ukakuta sio IS au IS wametumiwa.Kwenye ulimwengu wa Kijasusi kuna uhuni na umafia mwingi, kwani hata adui unaweza kumtumia ktk operesheni zako.Halafu kama hujui pale Yemen kwa mujibu wa BBC, US anatumia Magaidi wa Al Queda na Mercenaries kuwatisha na kuwapoteza uhai baadhi ya viongozi wa Yemen.

Ukipata muda angalia hii Documentary ndipo utaelewa kuna mengi yanayo endelea nyuma ya ugaidi.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Z51MTI9sbFY&pp=ygUSTWVyY2VuYXJ5IGluIFllbWVu
 
Nchi yeyote wakisha kuwepo waislam zaidi 30% lazima shida itokee ndo maana nchi za kiislam democracy haiwezi fanya kazi maana kiongozi wa nchi lazima awe ngangari mfano gadaffi au sadam ili nchi iiende ni uarabuni yote viongoz wao wako makini sana na vikundi vya hovyo na wanajua jinsi ya kudeal navyo kimya kimya

Waislam wana tabia ya kuunda vikundi mkitofautiana jambo tu dogo silaha mkononi kutoka na mafundisho ya dini yao

Nchi zao zinatawaliwa na mkono wa chuma bila hivyo ni fujo ...... hata hapa tanzania walianza mkono wa chuma ukapita pale kibiti na mapango ya amboni sasa hivi wapo huko msumbiji
Waislam ktk hili la Russia mnawasingizia,uchunguzi wa awali FSB unaonyesha magaidi walikuwa na mawasiliano na watu kutoka Ukraine.

View: https://m.youtube.com/watch?v=SFMBWYFLg4I
Kwenye maswala ya kigaidi hutakiwi kufikiria haraka sana,unaweza kukuta hata hawa Al Queda ni masinema ya US.Tizama hii documentary ukipata muda ndipo utajua kuna maigizo mengi kwenye maswala ya kigaidi.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Z51MTI9sbFY&pp=ygUSTWVyY2VuYXJ5IGluIFllbWVu
 
Hivi tayari wameshakamatwa au ni picha tu ndio zimetolewa??
 
Hujui chochote unabwabwaja tu....vita vilikuwepo kabla ya uislamu,huyo gaddafi unajua kauliwa na nani ...!!?
Nchi yeyote wakisha kuwepo waislam zaidi 30% lazima shida itokee ndo maana nchi za kiislam democracy haiwezi fanya kazi maana kiongozi wa nchi lazima awe ngangari mfano gadaffi au sadam ili nchi iiende ni uarabuni yote viongoz wao wako makini sana na vikundi vya hovyo na wanajua jinsi ya kudeal navyo kimya kimya

Waislam wana tabia ya kuunda vikundi mkitofautiana jambo tu dogo silaha mkononi kutoka na mafundisho ya dini yao

Nchi zao zinatawaliwa na mkono wa chuma bila hivyo ni fujo ...... hata hapa tanzania walianza mkono wa chuma ukapita pale kibiti na mapango ya amboni sasa hivi wapo huko msumbiji
..
 
Hawa vijana huenda ni asili ya Caucasus. Chechnya, South na North Osetia, Dagestan ama Ingushetia. Ama former Soviet Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan na Kazakhstan.
Rais wa nchi wanayotoka anasema ni raia wa kawaida tu. Tena mwingine wanayemdhania ametoroka yuko nchini kwao huko uzbekstan anaendelea na shughuli zake za kilimo.
Tutasikia Mengi
 
Back
Top Bottom